Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kapteni wetu wa kimataifa 😂😂😂🙌🙌🙌
Sema pamoja na ujinga wake wote,anajua kukaba afu anabahatishaga assist
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Bhanaaa aliona jana akuzime maana unamsema mnoooo akae bechi...

Huchelewi kusikia goli lake liwe goli bora la msimu 😎😎😎😎😛🤭🤭🤭🤭🤭🤭

YNWA
 
Man City vs Everton!
FA iliwaomba msamaha Everton kwa kuwanyima penalty ya wazi dakika ya 90.
Au umesahau?

Hiyo carabao umepewa bure ,kufungwa mlifungwa na kombe mkapewa nyie then mnavimba et champion ,labda champion wa tandale 😅😅😅
 
.
IMG_20220428_102957_1.jpg
 
Yaani tena nilitaka kusema hili takataka linewekwa ndo maana hatufungi
Lahaulaa kapteni akafanya mambo

Mitano tena kwake kapteni wa kimataifa
😂😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃💃Bhanaaa mbona kashapewa ya kutosha huyo unae mpaka 2025 Hahaha utulieee kabisaaaa.

YNWA
 
Liverpool are planning to open talks with their manager Jürgen Klopp to extend his contract, confirmed as Paul Joyce reported today. #LFC

Current deal expires in June 2024 - Liverpool want Klopp to stay on a long term deal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom