Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Haya bhana wewe jifariji hivo hivo ila REAL MADRID mbele ya UCL ni habari nyingine kabisa

Achana na wao kuchukua kombe hilo mara tatu mfululizo

Nadhani wao ndiyo timu ya kwanza kufika Final nyingi la UCL achana na hilo

Achana na ila Final dhidi ya ATM goli la RAMOS dakika za lala salama


Achana na ile kibao cha Bavarians

Madrid ni team hatari hasa UCL.


Makosa yapo hata nyie city mnamakosa mengi sema usahihishaji wa haraka ndio unaowasaidia tena ni vile hayupogi mshambuliaji wa makini vinginevyo mna bahati nzuri tu


Ila pambana tukutane final japo hata mimi sijui kama nitafika
Huwa nawashangaa sana watu wanaotembelea historia kutabili matokeo , badala ya kuangalia kikosi cha Sasa kilichopo ....
 
Malipo ni hapahapa
Zege halilali
IMG_20220425_234355_590.jpg
IMG_20220425_234357_127.jpg
IMG_20220425_234358_332.jpg
 
View attachment 2200432

Jamani huyu akemewe mazima hii nuksi itupite mbali sanaaaaa.

YNWA
Kuna kila dalili hili jini likatafunwa na jogoo dry.

Mtoto gani sijui atatolewa.. Naiona liverpool fainali, akikutana na madrid basi this time madrid hana chake, ila akikutana na man city kazi ipo na kuna kila dalili fainali ikawa vs man City.

Save my comment.
 
Ooooh astionvilla atawasiamamisha ,nyie wenyewe mna game na villa ,na yupo nafasi ya 15 huko akizubaa atajikuta 18 ....

Mar ooh wolves hawachomoki ,nyie wenyewe mna game na wolves ,kwa hiyo nyie mataenda kuchukua point tatu bure ,huwa nabaki nacheka ..

Mara ooh watakutana na Newcastle ngumu ,hata nyie Newcastle mnaenda kukutana nae jumamosi tu hapo ,Sasa sijui nyie ndio mnaweza kumfunga pekee yenu ....


Mara ooh westham atawasiamamisha na sisi ndio tutawapita hio point Moja ,utafikili wenyewe hawana Spurs Tena inatafuta top four zaidi ya simba mwenye njaa ...!
Hahahahaha kwa sasa hii pointi moja lazima uchapike ama utoe sare ili sasa tuanze mbio za nani mwenye magoli mengi.

Inaweza kutokea ileeeee ya mwaka 2012 Aguero anafunga goli vs QPR mkachukua kwa goal difference

Pep alisema ni ngumu kushinda mechi zote.
Klopp alisema ni ngumu kushinda mechi zote.
Kwetu mashabiki tunataka ushindi tu lakini tunafahamu sio rahisi tazama tu Jumapili Everton ndani ya kipindi cha kwanza wanajiangusha tu hovyo ili mradi watuvuruge nayo ni mbinu ambayo ilifanikiwa kipindi cha kwanza.


YNWA
 
Mkuu kwa sisi tunaofatilia mechi kuna mechi kabisa unaona city leo anashinda goli nyingi,

Mechi na Watford ilikuwa iko wazi city anashinda tu,ilikuwa haina ugumu wowote hamfunge wolves au westham na Newcastle .akicheza na hizo timu anapata ushindi kipindi cha pili na kwa taabu sana.

Ushindi wake wa kipindi cha pili na kwa taabu sana ndio mimi unanipa wasiwasi sana kwamba hatapoteza tu

Tofauti na sisi ,sisi tunaonekana tunauwezo sana kuanzia raundi ya pili imeanza hakuna kupoteza mechi hata kwenye Epl.
Uzuri wa EPL una matokeo ya kustukiza sana kiasi hutaamini.

Kumbuka Manchester City akichezea 3 kwa Norwich ama Liverpool akichezea 3 kwa Watford yaaani ndio raha ya EPL.

Kwa sasa nionavyo ili twende sawa msimamo ni ule ule kila mmoja ashinde mechi zake haina maana Kipara atoe sare na Westham aafu tuchapike na Spurs hivyo kama alivyosema Klopp ni kwamba anachoweza kumpamba ni ushindi mechi zetu tu na sio za Manchester City hivyo tushinde zetu ikitokea Kipara kachapika itakua ni blessings in disguise kwetu.

YNWA
 
Sema jamaa ni fundi,halafu anafunga mechi zilizoshindikana ambazo wenzake wote wameshindwa kufunga.

View attachment 2200957
Mkuu mie nachojiuliza ni hio mentality yaaani huo utayari wake kuingia na kupambana vile huku akiwa hajacheza wala hata uhakika wa kucheza haupo tena of course Mos alisema alikua akicheza mechi kadhaa mkataba wake unaji renew automatically pengine Klopp kaona akasake maisha kwingine benchi sio mahala pake.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom