Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Never Give Up.
YNWA
JUMA mossi


Man city atapunguzwa speed na LEEDS AU WOLVES...Villa wanaweza wakawakazia mechi ya mwisho but.....nadhani city watashinda tu.JUMA mossi
Newcastle vs Liverpool
Man city vs Leeds united
Leeds anaenda kuchapika goli zaidi ya 4 hapo na ule mfumo wake wa kufunguka![]()
Uzuri wa EPL una matokeo ya kustukiza sana kiasi hutaamini.
Kumbuka Manchester City akichezea 3 kwa Norwich ama Liverpool akichezea 3 kwa Watford yaaani ndio raha ya EPL.
Kwa sasa nionavyo ili twende sawa msimamo ni ule ule kila mmoja ashinde mechi zake haina maana Kipara atoe sare na Westham aafu tuchapike na Spurs hivyo kama alivyosema Klopp ni kwamba anachoweza kumpamba ni ushindi mechi zetu tu na sio za Manchester City hivyo tushinde zetu ikitokea Kipara kachapika itakua ni blessings in disguise kwetu.
YNWA
JUMA mossi
Newcastle vs Liverpool
Man city vs Leeds united
Leeds anaenda kuchapika goli zaidi ya 4 hapo na ule mfumo wake wa kufunguka![]()
Man city atapunguzwa speed na LEEDS AU WOLVES...Villa wanaweza wakawakazia mechi ya mwisho but.....nadhani city watashinda tu.
NA sisi Liverpool naona tutapata shida away kwa Newcastle na Aston Villa
Bhana hiii gemu ya Newcastle sina imani kabisa hawa jamaa tangu mabilioni yatue mbona wameamsha balaaaa.JUMA mossi
Newcastle vs Liverpool
Man city vs Leeds united
Leeds anaenda kuchapika goli zaidi ya 4 hapo na ule mfumo wake wa kufunguka![]()
Duuh jamani kumbe VVD hakuwepo ile gemu asa walishindwa aje kutupiga.Spurs hana uwezo wakutufunga pale anfield,ingekuwa tupo kwao ningekubali.ile mechi tumetokanao sare na vvd hakuwepo na wachezaji wetu wakutegemewa hapo kati hawapo nje hapo sub hakuna mtu wa kufanya chochote wao walikuwa full .
Lineup yetu ilikuwa hii hapa
View attachment 2201114
Mechi iliyokuwa yakupoteza ilikuwa Na city mwenyewe pale etihad lakini tukapata matokeo.
Pale tulizidiwa maana tulikuwa butu kabisa.
Hakuna timu ya kutufunga tena hapo .
Mechi na city ndio ilikuwa ya ubingwa ile kama tulishindwa kuwafunga tusubirie tu lakini Safari hii itakuwa upande wetu.tuwena imani tu.ingawa hakuna uwakika maana kumsubiria mwezio apoteze huwezi kuwa nauhakika ila na vijana wanapambana sana kwa hiyo tunaenda sawa.
Me naimani city lazima atateleza tu maana sisi tumekuwa bora kumzidi city kwenye hii round ya pili.
Ndio maana hata watu wengi wanatutabilia ma4 sio city kwanini kwasababu ndio tunaonekana tunasifa hizo.
Hahahah Muna mbwe mbwe nyie hahaha 😂😂😂View attachment 2201009
Hivi vitu OllaChuga Oc kwenu vipo??
Huku ni ushindi na bururdani kama hii
YNWA