Wolves hapo maana city atakuwa ugenini yaani anakuwa nyumbani Kwa wolves.sisi wolves anakuja pale anfield hapo uhakika tunamtwanga.
Hizo timu zingine hazina huwezo wa kumfunga city labda westham tu.
Mambo mazuri sana hapa Anfield ni raha tu.Hahahah Muna mbwe mbwe nyie hahaha 😂😂😂
Sisi kwa Sasa ni watazamaji hatuna tena ule ushindani ..kwa Sasa tunasubiri bingwa kati yenu na liver tutoe pongezi.
Mkuu punguza hope Pep hawezi kupoteza tena game wala point.
Ligi ataimaliza akiwa na points 95
Msimu huu City anabeba ubingwa
Kwa sasa tupambane na FA na UCL tu hamna namna.Mkuu punguza hope Pep hawezi kupoteza tena game wala point.
Ligi ataimaliza akiwa na points 95
Msimu huu City anabeba ubingwa
Next season, We Gunners will be there.
Next season, We Gunners will be there.
Amkeni amkeni Man U wanaenda kuuziwa kitu mneso huku!Frinkie De Jong £70m ETH anamtaka kwa hiyo hela, nahisi kunaharufu ya kuuziwa Mbuzi kwenye gunia hapa
. £200 -70=£130m sasa hapotasajili wachezaji wangapi?
![]()
Soon city anapoteza point.Ukisikia kupumuliwa ndio huku sasa, pointi moja alafu wote mko njema....
Mmetufunga msimu huu sababu quality wise mlikuwa bora zaidi, nyinyi wachezaji wapo pamoja kwa muda mrefu sasa lakini pia tuna timu ya vijana wadogo waliokuwa wanatafuta experience kwenye elite level, tunachofanya next season ni kuboresha squad kwa kuadd more quality & profile tulizozikosa msimu huu, kama unaujua mpira utagundua liverpool & City mmefutunga not for tactical reasons ila ni quality issues & Experience, Moja ya kitu nimemkubali Mikel Arteta japo kapoteza mechi za Liverpool & City ila tactically alimanage kwenda toe to toe na hizi timu paka pale quality differentials ilipotake place.Mnakuwa na mbwembwe sana mkuu,sisi tunawatakiwa kilala heri hatuna shida kabisa na nyinyi wasiwasi wangu hao wachezaji wenu mliokuwa nao msimu wakitakwana na timu kubwa zingine zinazochukua makombe hata kataa?
Bila kusahau msimu huu tumecheza na nyinyi mechi nne kwenye hizo mechi nne mmeshindwa kutufunga hata goli.
100% top 4 mtabakia japo nyinyi wenyewe mna wasiwasi .
Hakuna cha misimu mitatu mkuu, nisikilize mimi, kama tutakuwa na a big summer window basi next season ni ndani ya top 3, Mikel Arteta atakuwa kocha wa kwanza kuua ushindani wa Pep & Klopp. Save hii comment mkuu.Kama kutaendelea na rebuild tena bila ya kumbadilisha Arteta basi after three seasons ndiyo munaweza kucompete kwa Ubingwa.
But iwapo Arteta atafukuzwa au rebuild yenu haitakuwa na Consistency basi safari bado ni ndefu.