Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Kuna mahali nilikuwa kwa mzuka ule nilishangilia mpaka beer zikamwagika wahuni wakaanza nletea noma nikawaomba msamaha ila nikaona sio sehemu salama kwangu nikahama kiwanja chap![]()


ungelambwa makofi 

Kuna mahali nilikuwa kwa mzuka ule nilishangilia mpaka beer zikamwagika wahuni wakaanza nletea noma nikawaomba msamaha ila nikaona sio sehemu salama kwangu nikahama kiwanja chap![]()


ungelambwa makofi 

😂😂😂😂🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭Ki ukweli Maguire wanamwonea tu kile kikosi chote ni cha kutupwa 🚮Ila maguire ana faida sababu nchi yake imefuzu? 🤣
Huyu Pogba mechi ile ya mwanzo tulicheza nao alitia huruma
Yaani nikuwa namuangalia jamaa hadi machozi yanataka kunitoka...kipindi anatolewa..hata nguvu ya kupiga makofi kusalimia shabiki hakuwa nayo.
Bora mechi ya jana amejiongeza.

kwahiyo msala akawaachia akina Rashford, Elanga na Bruno Fernandes 



Mkuu simshangai, huwa wanatia huruma wewe! We ulimuona Phil jones alivyo kua akitia huruma?Yaani wachezaji wa Manure wakitia huruma unataka kulia? Madam Acha masihara ujue hahaha







Hivi Wala pizza nao chali kumbe hawajavuzu😳😳 kiruuuu mbutaaa...Aisee kwani Jorginho aka masta pass ni vipi Chugga anakwenda Qatar ama ataangalia kwenye kideo kama Salah
YNWA
Akajiondokea zake mapema alivyotoka dogo Diaz amefunga.kwahiyo msala akawaachia akina Rashford, Elanga na Bruno Fernandes
![]()
Ni wapi apo Chali angu ..ulikuwa mitaa Gani? Alafu mbona unitafuti Chali wangu au kisa hii liver inashinda shinda Nini inawafunga wavimba macho😂😂😂Kuna mahali nilikuwa kwa mzuka ule nilishangilia mpaka beer zikamwagika wahuni wakaanza nletea noma nikawaomba msamaha ila nikaona sio sehemu salama kwangu nikahama kiwanja chap 😂😂
Ona hapa
Utasema wanajadili Cha maana kumbe hakuna kitu,tunawatandika jingineView attachment 2193973





Nipo nipo😆🤭Rukhusa ebu muokoe mwenzetu kilio kila siku inauma sanaaa.
Yaaani kufungwo inauma sana.
Best maid yupo Saint Anne, mambo yatakua bam bam.
YNWA
Bora apewe mkataba mpya aisee
Wewe mkimbizi team yako tunaijua rudi unyumbuni mzeeTafuta hela kijana 😅 wacha kujipa matumain hewa ndoa inakushinda unakuja kujifariji huku kwenye kuku ...!!
Apewe tu kwakweli,mapema tu
Chalianguu nipo Geitani huku kwa wasukuma bana. Ila natimba fasi za Gachustan soon lazima nikudere meku.Ni wapi apo Chali angu ..ulikuwa mitaa Gani? Alafu mbona unitafuti Chali wangu au kisa hii liver inashinda shinda Nini inawafunga wavimba macho😂😂😂
Brighton washenzi tuHawa brighton mbona wanatupambania hivi daaah