Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Huyu Pogba mechi ile ya mwanzo tulicheza nao alitia huruma
Yaani nikuwa namuangalia jamaa hadi machozi yanataka kunitoka...kipindi anatolewa..hata nguvu ya kupiga makofi kusalimia shabiki hakuwa nayo.


Bora mechi ya jana amejiongeza.
kwahiyo msala akawaachia akina Rashford, Elanga na Bruno Fernandes
 
Aisee kwani Jorginho aka masta pass ni vipi Chugga anakwenda Qatar ama ataangalia kwenye kideo kama Salah

YNWA
Hivi Wala pizza nao chali kumbe hawajavuzu😳😳 kiruuuu mbutaaa...

Hili kombe la Dunia litakuwa la mchongo. Vip wanangu wa Colombia wamefuzu? Wananzengo wale nawakubali saanaa 😀😀😀
 
Kuna mahali nilikuwa kwa mzuka ule nilishangilia mpaka beer zikamwagika wahuni wakaanza nletea noma nikawaomba msamaha ila nikaona sio sehemu salama kwangu nikahama kiwanja chap 😂😂
Ni wapi apo Chali angu ..ulikuwa mitaa Gani? Alafu mbona unitafuti Chali wangu au kisa hii liver inashinda shinda Nini inawafunga wavimba macho😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom