Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220425_211953.jpg


Jamani huyu akemewe mazima hii nuksi itupite mbali sanaaaaa.

YNWA
 
Duuh huyu Miller na ndio Klopp anakomaa eti apewe mkataba wakati naona sasa anachokiweza na kupiga viatu wachezaji. Hivi ile gemu ya Chelsea unakumbuka goli la kwanza alimla kiatu Pulisc wakapata faulo kupigwa ndio akafunga Mateo kwa huyu Milner hana msaada wowote aodoke.. Tena ile faulo alimpiga kiatu mara ya kwanza dogo akakwepa lakini mara ya mpili akampata na haikua move ya hatari ki vile. Hakika Klopp amuache asepe zake Leeds ama Aston Villa.

YNWA

Kwa sasa hivi yeye na ox wameshaanza kujitenga na kikosi cha kwanza hakuna namna lazima waondoke tu.

Sasa hivi kama wachezaji hawaumii Milner hana kazi tena hapo Liverpool maana yeye anakuwaga kilaka.

Naikumbuku sana hiyo mkuu.bila lile goli Chelsea wasingerudi mchezoni.
 
Brenford tulikua up 3-1 eti zikarudi ikawa 3-3
chelsea tukaongoza vizuri 2-0 eti zikarudi ghafla tuu, hata ile mechi na City Anfield ilikua yetu kabisa, Juzi tuu FA na City half time 3-0 ila hadi mechi inaisha tumebana mbupu, mi nahisi hatuna wachezaji wenye costistency ya juu kabisa ama saa zingine mbinu nk,

Mbinu rahisi ya kuishinda City ni kuwa na high lever ya consistency mwanzoni kabisa mwa ligi na katikati, wao wakiwa na point 50 wewe una 60 huko

Kwenye Hizo mechi goli kurudi ilikuwa ni halali kabisa, tulikuwa hatuna wachezaji wakuzuia wakufunga wapo .

Yaani mido yupo milner Jones ox na Henderson yaani tusifungwe yaani hiyo draw tushukuru.

Kumbuka sisi Liverpool kufungwa au kushinda ni hapo kati wachezaji wakutegemewa wote wawepo hapo ni uhakika tukifungwa njoo tulalamike hapa.

Kuna mechi na Brighton ilifika mahali unatamani ufanye sub lakini ukiangalia bench hapo nje hakuna mchezaji wa maana anaweza kubadilisha matokeo wengi walikuwa watoto,me hata sikumlaumu Klopp najua sasa angefanyaje? Na wachezaji hatuna wakutegemewa wote wameumia.
 
Bhudhaah unaijua Real Madrid mbele ya UCL au unaisikia tu hehehe ila sawa nakuombea upite Madrid ndio wanajua figisu za UCL mwanzo kati na mwisho


Pambana sana
Hakuna timu nyepesi kama Madrid kabisa ,hawajui kupress wanacheza nyuma huku wakisubili counter attack ya vin na benzema....hata hivyo wamemtoa Chelsea na psg kwa mistake za makipa Wala hawana build up nzuri ya mashambulizi ....!


Madrid ni timu nyepesi Sana ,walitembelea mistake za Chelsea na psg kufuzu ....!

Sioni wakitusumbua kabisa hawa ,tukicheza possession football haki ya nani utawakataa Madrid ....


Subili uone ....!
 
Aisee moja ya sifa ya bingwa mtarajiwa ni kushinda hata akiwa na siku mbaya kazini na kwa namna ubao wa magoli ulivyosoma pale Ethad haikua siku mbaya kwa Kipara maana pamoja na kusaka pointi 3 anasaka pia kupunguza goal difference ambazo kwa sasa nadhani tumewaacha goli 6 tukiwa na advantage.

Ngoja tuone mechi bado zipo.

YNWA

Mkuu kwa sisi tunaofatilia mechi kuna mechi kabisa unaona city leo anashinda goli nyingi,

Mechi na Watford ilikuwa iko wazi city anashinda tu,ilikuwa haina ugumu wowote hamfunge wolves au westham na Newcastle .akicheza na hizo timu anapata ushindi kipindi cha pili na kwa taabu sana.

Ushindi wake wa kipindi cha pili na kwa taabu sana ndio mimi unanipa wasiwasi sana kwamba hatapoteza tu

Tofauti na sisi ,sisi tunaonekana tunauwezo sana kuanzia raundi ya pili imeanza hakuna kupoteza mechi hata kwenye Epl.
 
Bhudhaah unaijua Real Madrid mbele ya UCL au unaisikia tu hehehe ila sawa nakuombea upite Madrid ndio wanajua figisu za UCL mwanzo kati na mwisho


Pambana sana
Madrid anafigisu gani ,....!

Timu nzima ni benzema,...!

Harafu inacheza na timu ya wachezaji 11
 
Mkuu kwa sisi tunaofatilia mechi kuna mechi kabisa unaona city leo anashinda goli nyingi,

Mechi na Watford ilikuwa iko wazi city anashinda tu,ilikuwa haina ugumu wowote hamfunge wolves au westham na Newcastle .akicheza na hizo timu anapata ushindi kipindi cha pili na kwa taabu sana.

Ushindi wake wa kipindi cha pili na kwa taabu sana ndio mimi unanipa wasiwasi sana kwamba hatapoteza tu

Tofauti na sisi ,sisi tunaonekana tunauwezo sana kuanzia raundi ya pili imeanza hakuna kupoteza mechi hata kwenye Epl.
Jana umeshinda kipindi Cha ngapi mbele ya Everton ?

Mzee usifikili mpira ni kubwabwaja maneno ,hakuna game rahisi kabisa na usifikili makocha hawajui ....hao kina klop & pep maneno wanayoongea dressing room kuwasisitiza wacheza ni hatariiii ....


Jana tu umeona first half 0-0 klop alivokimbia dressing room?

Huko ndani Kuna maneno mazito zaidi hata matumain hewa unayojipa hapa .....


Keep watching Hadi may 22
 
Madrid anafigisu gani ,....!

Timu nzima ni benzema,...!

Harafu inacheza na timu ya wachezaji 11
Haya bhana wewe jifariji hivo hivo ila REAL MADRID mbele ya UCL ni habari nyingine kabisa

Achana na wao kuchukua kombe hilo mara tatu mfululizo

Nadhani wao ndiyo timu ya kwanza kufika Final nyingi la UCL achana na hilo

Achana na ila Final dhidi ya ATM goli la RAMOS dakika za lala salama


Achana na ile kibao cha Bavarians

Madrid ni team hatari hasa UCL.


Makosa yapo hata nyie city mnamakosa mengi sema usahihishaji wa haraka ndio unaowasaidia tena ni vile hayupogi mshambuliaji wa makini vinginevyo mna bahati nzuri tu


Ila pambana tukutane final japo hata mimi sijui kama nitafika
 
Ooooh astionvilla atawasiamamisha ,nyie wenyewe mna game na villa ,na yupo nafasi ya 15 huko akizubaa atajikuta 18 ....

Mar ooh wolves hawachomoki ,nyie wenyewe mna game na wolves ,kwa hiyo nyie mataenda kuchukua point tatu bure ,huwa nabaki nacheka ..

Mara ooh watakutana na Newcastle ngumu ,hata nyie Newcastle mnaenda kukutana nae jumamosi tu hapo ,Sasa sijui nyie ndio mnaweza kumfunga pekee yenu ....


Mara ooh westham atawasiamamisha na sisi ndio tutawapita hio point Moja ,utafikili wenyewe hawana Spurs Tena inatafuta top four zaidi ya simba mwenye njaa ...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom