Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Hivi Wala pizza nao chali kumbe hawajavuzu😳😳 kiruuuu mbutaaa...

Hili kombe la Dunia litakuwa la mchongo. Vip wanangu wa Colombia wamefuzu? Wananzengo wale nawakubali saanaa 😀😀😀
😂😂😂😂🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿Colombia kama Italy watakua watalii Qatar 😝😝😝awamu hii wamechemka.

YNWA
 
Bora apewe mkataba mpya aisee
Tangu aambiwe hii ishu yake ipo ya kuumia mara kwa mara ipo zaidi akilini mwake hivyo imempa uoga usioisha na kuambiwa ajirekebishe ajiamini naona kama sasa namba 8 anaanza kuitendea haki aisee.

YNWA
 
lembu
Ilikuwaje jamani

Niliacha hf 2-2

Hakiyanani nimefuraaaahi
Furaha ya nini wakati hata sisi na nyie sio washindani tena? au wewe ni Arsenal nini?
Matokeo hayo hayatabadilisha misimamo ya Chelsea na Arsenal kwenye top 4
Arsenal itaendelea kuisikia top 4 kwenye magazeti na mitandao na sisi kwenye nafasi ya tatu hatutoki hadi afe mtu
 
Furaha ya nini wakati hata sisi na nyie sio washindani tena? au wewe ni Arsenal nini?
Matokeo hayo hayatabadilisha misimamo ya Chelsea na Arsenal kwenye top 4
Arsenal itaendelea kuisikia top 4 kwenye magazeti na mitandao na sisi kwenye nafasi ya tatu hatutoki hadi afe mtu
Nimefurahi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom