Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool lineup against man u
FB_IMG_16504250523859351.jpg
 
Mimi nilikua nmekunja nne namsoma tu, nikajua tu anatupa moyo kinafiki, japo alitamani tushinde, kwamba eti tuje kucheza kwa nguvu, nikamwambia hata uchawi hautaweza kutusaidia man utd.

Alikuwa anatamani ndiyo lakini kiukweli ni jambo lisilowezekana.
Ni sawa na kusubiri jua liwake usiku.
 
Asanteni Liverpool tumewapunguzia goli moja hawa nyumbu.
Badala ya kuwalisha matano tumewalisha manne.

Ile mechi iliyopita niliiangalia jana aisee huruma iliniingia jinsi tulivyowachapa .
Hasa muda ule Ronaldo anamkanyaga na kumpiga ni Jones yule sijui..aisee
Kibinadamu niliingiwa na huruma sana dhidi ya wachezaji wa mwanitesa.
 
Ifike muda wachezaji wa Manchester wajiheshimu na wawe na msimamo.

Mechi kama ya jana ilitakiwa wakatae kabisa kuingia kucheza ili kulinda heshima yao..
Kulikoni kwenda kuzunguka tu uwanjani bila chochote hadi wanapata vizunguzungu.

Liver tungepewa tu point zetu
 
Ifike muda wachezaji wa Manchester wajiheshimu na wawe na msimamo.

Mechi kama ya jana ilitakiwa wakatae kabisa kuingia kucheza ili kulinda heshima yao..
Kulikoni kwenda kuzunguka tu uwanjani bila chochote hadi wanapata vizunguzungu.

Liver tungepewa tu point zetu
Pogba alishtuka mapema sana akajifanya kaumia dakika ya 8 tu ya mchezo akatoka. Kakwepa lawama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom