Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,264
Huyu Pogba mechi ile ya mwanzo tulicheza nao alitia hurumaPogba alishtuka mapema sana akajifanya kaumia dakika ya 8 tu ya mchezo akatoka. Kakwepa lawama
Yaani wachezaji wa Manure wakitia huruma unataka kulia? Madam Acha masihara ujue hahahaHuyu Pogba mechi ile ya mwanzo tulicheza nao alitia huruma
Yaani nikuwa namuangalia jamaa hadi machozi yanataka kunitoka...kipindi anatolewa..hata nguvu ya kupiga makofi kusalimia shabiki hakuwa nayo.
Bora mechi ya jana amejiongeza.
Ukicheck ile mechi utakubaliana na mimi kabisa.Yaani wachezaji wa Manure wakitia huruma unataka kulia? Madam Acha masihara ujue hahaha


Huwezi amini kama miaka 15 iliyopita mashabiki wa Man U na Arsenal ndio walikuwa wanaamua ni game gani ionyeshwe kwenye vibanda umiza!
Time flies aisee Liver tumekuwa lidudu la kutisha kama zama za Shankly na Paisley.




Nilikuwa nagombana nao hatari Sana,Huwezi amini kama miaka 15 iliyopita mashabiki wa Man U na Arsenal ndio walikuwa wanaamua ni game gani ionyeshwe kwenye vibanda umiza!
Time flies aisee Liver tumekuwa lidudu la kutisha kama zama za Shankly na Paisley.