Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakuu
Nimeachana na mke wangu rasmi kwa talaka.
Kwani Liverpool na mke naona bora Liverpool tu wala hainidai hela za nguo wala wig na inanipa raha Mara nne

Anyway ile pass ya Mane tunaijadili saa ngapi?

Tafuta hela kijana 😅 wacha kujipa matumain hewa ndoa inakushinda unakuja kujifariji huku kwenye kuku ...!!
 
Screenshot_20220420_170839_com.android.chrome_edit_125934905741721.jpg


Meditating hahaha.

Bring its...

Bang em hard..

YNWA
 
Screenshot_20220420_171148_com.android.chrome_edit_125838043164131.jpg



😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Klopp is a genius.

YNWA
 
Huyo Numbisa Namuoa ili aepukane na machungu ya huko yunaitedi. Akija chamani nitampa faraja.
Numbisa njooo huku kuna ofa murwa sana ndugu yangu kutoka Kaskazini bwana Chaliifrancisco ameona si bure mateso haya unayopata kutoka kwa Manjesta hivyo rasmi ametangaza nia ya kukufuta machozi haya kazi kwako uchague kupanda SGR ya umeme ama TRL ya dizeli ama kuni 😂😂😂😂😂😂

Mshenga nipo tayari bhana.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom