Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,537
- 18,640
Ungeingia wewe basi!Fernandinho fala ww
Ungeingia wewe basi!Fernandinho fala ww
Chukua ndimu kamualia kwenye komwe , paka magadi kidogo… halafu kakae juaniKesho tunaenda kuwatoa fana hayo maneno ya kuaduraboooobooooo yatakuwa yameisha ...!!
Hendo kabaki kama choir master tuKuelekea Next season kwenye maeneo ambayo tunatakiwa kuleta watu ni eneo la midfield
Henderson ile Stamina, High Intensity running, Pressing na Dictating Tempo of the game inaanza kufade almost next season atakuwa sanaa squad player.
Milner na Ox wanaweza kuondoka ana hata kama watabakia we cant rely on them.
Thiago and Keita when they are available ni world best lakini availability yao ni questionable
Curtis Jones na Elliott still wanadevelop bado hatujaweza kusema tuwategemee kwenye first eleven bado ni aina ya squad players.
Pia tunahitaji Fabinho Cover
So far kuna Fabio Carvalho ambaye ataongeza pia kitu ila je Sokoni unaona kuna nani ambaye anaweza kuja kuongeza kitu in our midfield???
Tchouameni anahusishwa na kwenda Madrid huku Gravenberch anahusishwa kwenda Bayern je kuna options gani nyingine??
Bellingham too expensive kwangu
Hivi unazikumbuka hizi post zako? 😁Kusema kweli sijaona ukali wowote wa Liverpool![]()
Kuelekea Next season kwenye maeneo ambayo tunatakiwa kuleta watu ni eneo la midfield
Henderson ile Stamina, High Intensity running, Pressing na Dictating Tempo of the game inaanza kufade almost next season atakuwa sanaa squad player.
Milner na Ox wanaweza kuondoka ana hata kama watabakia we cant rely on them.
Thiago and Keita when they are available ni world best lakini availability yao ni questionable
Curtis Jones na Elliott still wanadevelop bado hatujaweza kusema tuwategemee kwenye first eleven bado ni aina ya squad players.
Pia tunahitaji Fabinho Cover
So far kuna Fabio Carvalho ambaye ataongeza pia kitu ila je Sokoni unaona kuna nani ambaye anaweza kuja kuongeza kitu in our midfield???
Tchouameni anahusishwa na kwenda Madrid huku Gravenberch anahusishwa kwenda Bayern je kuna options gani nyingine??
Bellingham too expensive kwangu

Kajamaa ni kituko sana
Chukua ndimu kamualia kwenye komwe , paka magadi kidogo… halafu kakae juani
Hasira zitapungua
Na Bado ucl






Mleteee tumkaange
hahahaa huwezi kuwa na mzuka na kitu ambacho unajua kabisa huwezi kukipata.Hatuna mzuka na FA sie. tumewaacha muende.
hahahaa huwezi kuwa na mzuka na kitu ambacho unajua kabisa huwezi kukipata.Hatuna mzuka na FA sie. tumewaacha muende.
hahahaa huwezi kuwa na mzuka na kitu ambacho unajua kabisa huwezi kukipata.Hatuna mzuka na FA sie. tumewaacha muende.
KWA Madrid hamtapenya. Fiinali Ni Liverpool vs RMadrid penda usipende.Uefa.... Fainali😎