Tulia dawa ikuingie vizuri we man shity fan HahahahaKusema kweli sijaona ukali wowote wa Liverpool![]()
Unateseka ukiwa wapi wewe chelwowo fanMunashangilia sana wakati man city akiwapangia kikosi B
Yaani huyo tuchelewe na wachezaji wake wavaao blauzi ndo watufunge hahahaShangilieni weee.... mwisho wake ni kuwa trashed the blues na vilio vitatawala humu ndani....
na hapo ndipo tulipo mshikia city kwa kuwa kati kulijaa ubunifu wa kutosha. tunahitaji ubunifu zaidi kwny mido yetu tunaposhindwa kupata matokeo mazur kwny mechi za mpira wa miguu ujue tumezidiwa kati.View attachment 2189904
MF leo ya Keita, Fabinho na Thiago imeeleweka vyema.
Kwa mara ya kwanza tumeona mipango ya Klopp pale kati anahitaji nini kwa MFs wake.
YNWA
Jana ilikua one sided affairDont' let the scoreline fool you, this game was one-sided against the richest team in the world. Pundits and ex-players will defend Guardiola loyally as always. Criticism is only for Klopp and Tuchel. So here are some questions that won't be asked:
- weren't you lucky today? could have been 6-7 goals here
- After spending 700 million, how are 2 injuries an
excuse?
- If De Bryune, Rodri, Ederson, Maherz are on the bench, why not start them and let the others handle the 2nd half? You have 5 substitutions, you used 1.
- Instead of paying 100 million for flop Grealish, why not buy 2-3 good players ? For 100 million, Klopp bought Salah, Diaz and Mane.
- Why is Zack Steffen so weak? Klopp won the Carabao cup with Kelleher.
- Why play from the back when Ederson is missing and Steffen can't handle it? Looks like Guardiola doesn't know his team well.
- Why is the Man City academy failing under Guardiola? Where are your Trent, Kelleher, Gomez, Harvey, Rhys, Phillips?
- If Guardiola improves players, why can't Sterling, Jesus, Zinchenko, Silva, Mahrez carry these games after so long?
- What was the need to risk all attacking players against Atletico, the most defensive team in Europe with an aggregate lead ?
- What is the solution to this problem? Buy Haaland and Nkunku for 300 million and break more financial fairplay rules? How is this "genius" ? Anybody can do this.
Hichi ndio kikosi B kwa man city?Munashangilia sana wakati man city akiwapangia kikosi B




Em acha izo, hapo labda ni kipa tu.
Sure.na hapo ndipo tulipo mshikia city kwa kuwa kati kulijaa ubunifu wa kutosha. tunahitaji ubunifu zaidi kwny mido yetu tunaposhindwa kupata matokeo mazur kwny mechi za mpira wa miguu ujue tumezidiwa kati.
huu msimu ni wetu huu kati ya makombe matatu ambayo tunapambania mpaka sasa afe kipa afe beki hatukosi mawili
#YNWA
Ni suala la muda TU mkuu mwenzio OllaChuga Oc alishupaza Sana shingo mwishoe amekubaliMunashangilia sana wakati man city akiwapangia kikosi B
Ukiwa vitan ukakutana na mtoto ana bunduki piga za kichwa usimuache. Mission ilikua kwenda final na kulibeba kabisa siku ya mwisho,izo blah blah zao sijui kikosi B sijui nan hakuwemo iyo sio kazi yetu sisi tulienda kwa swala moja tu kushinda BASI so yoyote ambae angekua mbele ni kula kichwa tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊Usife mkuu ndio kwanza mambo yanaanza kukaa sawa kwa depth ya hik kikosi tegemea mema sana kuanzia msimu huu kwenda mbele.Wakuu
Mkiona kesho kwenye habari wakitangaza kuwa kijana mmoja mwenye jezi ya Liverpool amekutwa amefia kifuani kwa mkewe mjue ndio mimi.
hii Liverpool inanipa raha kuliko mke wangu
Captain Marvelous
View attachment 2190006
😃😃😃😃 kikubwa tunafuraha sana na tuna enjoy kwaiyo atae nuna au wivu ilo ni jambo lake ata sisi tusha nuna sana na kuwa na wivu sana tu na timu nyingine.Ni suala la muda TU mkuu mwenzio OllaChuga Oc alishupaza Sana shingo mwishoe amekubali
Hata wakat wa gharika nuhu aliwasihi watu wapande hawakutaka she shangai hata wewe kutokili Liverpool n kiboko
Binafsi ningependa arudishe makali yake sasa ili kiatu cha ufungaji bora akipate lakini endapo sasa atapitwa haina neno kama atawatengenezea wengine nafasi wafunge na hatimae tupate kombe.Ronaldo leo kapiga Hat trick, Salah akizubaa atapitwa kama sio Son basi Ronaldo.
Stive G anaenda kutusaidia😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊Usife mkuu ndio kwanza mambo yanaanza kukaa sawa kwa depth ya hik kikosi tegemea mema sana kuanzia msimu huu kwenda mbele.
Nenda nae taratibu shemeji yetu 😂😂😂yupo tu huyo hahami mzee baba.
Cheers.
Kipara hana ujaja hapa anahaha akiwaza fainali ya Uefa wote tukivuka. Yaaani huyu sasa hata kwenye ligi kuu atachapika tu maana kashalegea.
YNWA
Nimeshakupiga 4Tulishawatoa Madrid before
Unless umeanza kushabikia soka last week
Ile liverpool ya akina Lallana na milner ndio unajisifu kuipiga ile fainali??
Hahaha bila shaka tunahitaji msaada kwa wengine huku na sie tukishinda mechi zetu zilizobakia na hilo lipo ndani ya uwezo wetu.Stive G anaenda kutusaidia😃😃
Kipara tayar kasha panic af na sisi tunakimbiza mwizi kimya kimya
Ona hii nyumbu