Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool kwetu changamoto hua ni beki CB chaguo la kwanza na pili wakiwa hawapo tunateseka sana.

Yaani Matip na Fabinho.

Sasa Klopp akamsajili Konate na dogo mdogo mdogo anazidi pata somo playing Liverpool way bado kinda sana huyu mwamba.

Otherwise kwingine hata bila Mane nk ushindi utakuja tu.

Tumelia sana na depth ya kikosi hiki muda mrefu tulikua tunatolea mfano Manchester City walivyo sheheni vipaji kila idara. Sasa angalau Liverpool unaweza sema taratibu kikosi kimekua cha ushindani maana wapo wachezaji benchi wakubadili gemu muda wowote.

Hawa wote ni Usajili wa kimkakati.
Tsimikas
Diaz
Jota
Konate.

Ndio maana leo hii hata FA na Carabao tunaingia mazima ingekua zamani hapa hatupo Wembley maana Klopp alijikuta anakomaa na UCL na EPL kutokana na ufinyu wa kikosi chetu.

Mdogo mdogo tutaelewana.

YNWA
kweli kabisa mkuu, this season tuna kikosi bora......
ila najiuliza nini kimemkuta Jones?
 
kweli kabisa mkuu, this season tuna kikosi bora......
ila najiuliza nini kimemkuta Jones?
Unajua hiki kikosi kinaanza pangwa mazoezini hivyo ukiona dogo yupo kuna vitu mwalimu havioni.

Ana nafasi kwa umri wake kubadili huu upepo wa kukosa gemu mara kwa mara.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom