Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,144
kucheza na city always sio rahisi kabisa.ila mie kwa kile kikosi wala hata sijashtuka yaan.
kucheza na city always sio rahisi kabisa.ila mie kwa kile kikosi wala hata sijashtuka yaan.
Hatuna mzuka na FA sie. tumewaacha muende.kucheza na city always sio rahisi kabisa.
Ila zingeongezwa dakia tatu tu, ngoma ingetoka droo
Uefa.... Fainali😎Game gani hio![]()
Mechi iliyopita si walicheza KDB ,Rodri ,Mahrez ,Walker mbona hamkushinda sasa.ila mie kwa kile kikosi wala hata sijashtuka yaan.
Wee nae utulie kwan, omba tukutane final mtajua hamjui.Mechi iliyopita si walicheza KDB ,Rodri ,Mahrez ,Walker mbona hamkushinda sasa.




Na bado UEFA pale big Benz anawasubiriHatuna mzuka na FA sie. tumewaacha muende.