Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Mhmhmh OllaChuga Oc umedukuliwa ama umekunywa nini leo maana soon hapa hapa utaanza yale matakataka yako..

Pole, Darajani Thomas alichemka kikosi cha kazi kazi hakua makini sana nadhani kwa vile kabla ya sasa hajawai kutolewa na Real Madrid kwenye UCL alidhani atapita kumbe mzee wa Cuban Cigar alikua amejipanga vyema.

Poleni mmeteleza mjipange vyema msimu ujao kwa vile uhakika wa kumaliza big 4 unao.

Jumapili pambana umtoe Crystal Palace nje FA uingie fainali ukiwa na bahati unaweza ukalipata maana faino aidha Manchester City ama Liverpool mmoja yumo na unafahamu vyema sio wepesi.

YNWA
Kwa Sasa liverpool ni timu Bora sana muko kwenye peak na hii chance kwenu ya kufanya vizuri msimu huu ..hongereni kwa Hilo ..sisi Chelsea bwana alaah tunajipanga msimu ujao.
#CFC💙💙💙
 
Kwa Sasa liverpool ni timu Bora sana muko kwenye peak na hii chance kwenu ya kufanya vizuri msimu huu ..hongereni kwa Hilo ..sisi Chelsea bwana alaah tunajipanga msimu ujao.
#CFC
Mkuu Hawa hawana ubora wowote ,wanapita kichakani kufika final ya CL angalia wapopita et benefica , Villarreal,Sasa hii si sawa na Europa tu

Hata ukimuuliza taila ....

Man city Vs real Madrid


Liverpool Vs villareal

Ni ipi CL au Europa league ,lazima atakujibu kiusahihi kabisa ...


Hawa jamaa wanapita kichakani wakati sisi wanaume tunapita kibingwa kabisa
 
Nyie piteni vichakanj kucheza game za Europa then mje final ya CL muone wanaume tutakavo wagonga na kuwachapa kipigo cha mbwa Koko
 
Mkuu Hawa hawana ubora wowote ,wanapita kichakani kufika final ya CL angalia wapopita et benefica , Villarreal,Sasa hii si sawa na Europa tu

Hata ukimuuliza taila ....

Man city Vs real Madrid


Liverpool Vs villareal

Ni ipi CL au Europa league ,lazima atakujibu kiusahihi kabisa ...


Hawa jamaa wanapita kichakani wakati sisi wanaume tunapita kibingwa kabisa
Huyo Benfica ni giant club Europe kabla hata hujazaliwa dogo . Unajua anamataji mangapi ya UEFA??
 
unahistoria gani na UEFA tofauti na kucheza fainali ambayo ulikazwa na Kai?
Yaani wewe kwenye club bingwa huna ushuhuda unaweza ukatoa.

By the way katika football mimj siamini mambo ya historia ,kwani hizo historia hazina msaada wowote kwenye current football,au kupambana kwenye pitch ...hatuna CL na hata tusipochukua huu mwaka hakuna tatizo lolote .... Nottingham forest ana CL 2 Sasa yupo wapi ,historia ya kuchukua hizo CL 2 haziwezi kumrudisha hata kuja kucheza PL😅😅😅😅😅
 
By the way katika football mimj siamini mambo ya historia ,kwani hizo historia hazina msaada wowote kwenye current football,au kupambana kwenye pitch ...hatuna CL na hata tusipochukua huu mwaka hakuna tatizo lolote .... Nottingham forest ana CL 2 Sasa yupo wapi ,historia ya kuchukua hizo CL 2 haziwezi kumrudisha hata kuja kucheza PL
Kwan hata kwenye current football unanini? Yaani wewe mjomba linapokuja swala la mafanikio unatakiwa uwe unasubiri tu, haya current mpaka sasa LFC ina league cup( carabao) , chelsea ina CWC , wewe una nini??
 
Kwan hata kwenye current football unanini? Yaani wewe mjomba linapokuja swala la mafanikio unatakiwa uwe unasubiri tu, haya current mpaka sasa LFC ina league cup( carabao) , chelsea ina CWC , wewe una nini??


Wewe ni falaaaa msimu umeisha au unatingisha wowowoo humu kupachikwa ukuni ...CWC imechezwa lini kinabo wewe ,hio si mwaka Jana 😅😅😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom