Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uwezo wa kuwapiga tunao
Sababu ya kuwapiga tunayo
Nia ya kuwapiga tunayo
Tukutane 14 May
Aisee uwezo una tafsri nyingi maana kwa rekodi sasa sahihi ni kwamba tuliwachapa ki roho safi Wembley haha just kidding...

Itakua gemu murwa sana. Thomas mara hii naona akiwa very efficient kwenye line up ya siku ya tukio.

Nimefurahi fainali Chelsea vs Liverpool FA 2022 imekaa powaaa sana maana hua tukikutana hakuna mzaha ni serious business mwanzo mwisho.

Hongera sana kwa kuvuka hii nusu fainali.

YNWA
 
Uwezo wa kuwapiga tunao
Sababu ya kuwapiga tunayo
Nia ya kuwapiga tunayo
Tukutane 14 May

Hivi kwanini mnakuwaga na kelele sana? Hata kwenye carabao mlisema hivi hivi mwisho wa siku mkaangukia pua.

Ingekuwa timu nyingine hapa ingekuwa kimya ila nyinyi lazima mpige makelele mtawafunga wapinzani wetu.

Sisi kikubwa wachezaji wetu wote wawepo tu.
 
Hivi kwanini mnakuwaga na kelele sana? Hata kwenye carabao mlisema hivi hivi mwisho wa siku mkaangukia pua.

Ingekuwa timu nyingine hapa ingekuwa kimya ila nyinyi lazima mpige makelele mtawafunga wapinzani wetu.

Sisi kikubwa wachezaji wetu wote wawepo tu.
Wee unajua kabisa Karabao mlibebwa
 
Aisee uwezo una tafsri nyingi maana kwa rekodi sasa sahihi ni kwamba tuliwachapa ki roho safi Wembley haha just kidding...

Itakua gemu murwa sana. Thomas mara hii naona akiwa very efficient kwenye line up ya siku ya tukio.

Nimefurahi fainali Chelsea vs Liverpool FA 2022 imekaa powaaa sana maana hua tukikutana hakuna mzaha ni serious business mwanzo mwisho.

Hongera sana kwa kuvuka hii nusu fainali.

YNWA
taja game zingine hiyo ya Wembley unajua fika mlibebwa
 
Adjustments.jpg
 
Wamekuja tena jamani tuwafanyie nini
Maana Gadiniole tumefanya ukatili haya sasa zamu ya tukole amekuja tena
 
Ni suala la muda TU mkuu mwenzio OllaChuga Oc alishupaza Sana shingo mwishoe amekubali

Hata wakat wa gharika nuhu aliwasihi watu wapande hawakutaka she shangai hata wewe kutokili Liverpool n kiboko
Mkuu hunui mbinu za kivita nini ..TUnakubali kumbe tunawalia time TU😂😂😂
Ila kwa Sasa liver uko vizuri sana aise kuliko wakati wowote ule ..bahati mbaya msimu huu tumegawana point na ule ushindi wenu wa mchongo carabao😀😀

Tunakutana tena FA ..hope unayijua Chelsea vizuri so mambo hayatokuwa marahisi..karibu😊😊
#CFC💙💙💙
 
taja game zingine hiyo ya Wembley unajua fika mlibebwa
Mkuu hakuna kubebwa tulifika penati na kwa rekodi sahihi ni kwamba kocha wako alichemka ile sub ya Mendy kumtoa kilichofuata ni minung'uniko Darajani mpaka sasa.

Umepata nafasi adimu tena kusaka Kombe haya kazi kwenu.

YNWA
 
Hii ndio depth tumekua tukikomaa humu ipatikane ili kuwapa wachezaji muda wa recovery na kua na fresh legs uwanjani.

Ilifika mahala aisee kwa kuona hatuna uwezo wa kushindana mazima vikombe vyote vingine tukavipachika majina ya Mickey Cups 😂😂😂 na ilikua sahihi kwa vile benchi lilikua hoi halina ubavu wa kuleta game changers lakini sasa baada ya usajili wa Konate, Jota, Diaz na Tsimikas mambo sasa yamebadilika mno kwanza imepunguza kasi ya majeruhi pale nyuma kwa vile nafasi ya kupumzika ipo especially kwa injury prone Matip.

Kinachobakia sasa ni kwenda mazima kila kombe.

YNWA
 
Hii ndio depth tumekua tukikomaa humu ipatikane ili kuwapa wachezaji muda wa recovery na kua na fresh legs uwanjani.

Ilifika mahala aisee kwa kuona hatuna uwezo wa kushindana mazima vikombe vyote vingine tukavipachika majina ya Mickey Cups na ilikua sahihi kwa vile benchi lilikua hoi halina ubavu wa kuleta game changers lakini sasa baada ya usajili wa Konate, Jota, Diaz na Tsimikas mambo sasa yamebadilika mno kwanza imepunguza kasi ya majeruhi pale nyuma kwa vile nafasi ya kupumzika ipo especially kwa injury prone Matip.

Kinachobakia sasa ni kwenda mazima kila kombe.

YNWA
Depth inaridhisha kiasi ingawa bado tunawadai eneo la Fabinho,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom