Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Man city Vs atletico Madrid


Liverpool Vs benefica


Game gani hapo imekaa ki uefa 😅😅😅😅😅

Tusijekuwa tunapoteza muda kuaangalia kumbe mwenzetu anacheza ki Europa Europa
 
Usimchukulie powa Unai huyu bwana ni masta wa Uefa.
Klopp alikutana nae akiwa Sevila fainali ya Uropa wee mbona alitupiga akiwa ametulia kama leo yaaani.
Hawa ma under dogs hua ni shinda sana aisee.
Bayern wanalia mpaka sasa.

YNWA
hawa villareal ni watu wakuwaendea very agressive si wa kuwachukulia poa kabisa kwa mpira niliouona wakicheza dhidi ya buyern wana mpira flani wa kaunta na mashambulizi yakushtukiza ni wakuwa nao makini sana hasa ile high line yetu tunayotumia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom