Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Mechi bado mbichi hii
Acha uoga mkuu
Mechi bado mbichi hii
Acha uoga mkuu

vijana wa simeone wamepambana sana lakini hawajaambulia kitu imeniuma kweli.Wameupiga mwingi sana leo ila bahati haikua upande wao maana wamekosa pia magoli mengi ya wazi.vijana wa simeone wamepambana sana lakini hawajaambulia kitu imeniuma kweli.
Dah! Basi tu nimeumia magoli waliyo yakosa kosa aisee, na kilicho wakost ni walipaniki mkuu ila wangetulia wangefunga.Wameupiga mwingi sana leo ila bahati haikua upande wao maana wamekosa pia magoli mengi ya wazi.

Ni mwendo WA kismatii tuu siku zotee. Gundu lilitoka baada ya Karius kuondoka.Hii timu ilikuwa inacheza Europa au uefa ??![]()
Ameen😀😀Na OllaChuga Oc asema Amen
IPO wazi hiyo mkuu...Nahisi huenda mkakutana tena na Madrid fainali View attachment 2186686
Ewaaaa huo ndo uchugastan sasaAmeen
Hingereni liverpool kwa kufika nusu fainali, ninyi ni timu Bora.
#CFC![]()

Na kila ulimi lazima ukiri 😂😂😂😂 OllaChuga OcAmeen😀😀
Hingereni liverpool kwa kufika nusu fainali, ninyi ni timu Bora.
#CFC💙💙💙