Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Fabinho nje
VVD nje
Thiango nje
Haya ngoja watupeleke kwanza

Fabinho nje

Siwadharau hawa kikosi B lakini sidhani kama umati huu wa leo umeingia kuona akina Milner, Henderso nkHv hichi kikosi nichaushindi kweli?![]()
Klopp has some balls yaaani Keita, Milner na Henderson jamani...
Haya ngoja tuone.
YNWA
Hapana! Hiki ni kikosi cha timu ambayo imeshaqualify for the next roundHv hichi kikosi nichaushindi kweli?![]()
Hahahaha Klopp leo kabeti jamani.Leo katushangaza maana hatukutegemea iko kikosi
Jamani naombeni site ambapo naweza kuangalia hii game online,nilikuwa natumia hesgoal.com lakini naona siku hizi inasumbua.
Yalla TvJamani naombeni site ambapo naweza kuangalia hii game online,nilikuwa natumia hesgoal.com lakini naona siku hizi inasumbua.
Itakua wachezaji wanafanya recovery kwa ajili ya mechi ijayo FA Jumamosi vs Manchester City na EPL Jumanne ijayo mechi ya ligi Manchester United pale Anfield.Kikosi hakijakaa vyema sana.....au ndo anawapumzisha kwa ajili ya battle na City)
Inakua timu ikiwa under dog hua hata presha ni ndogo sana tofauti na hawa wanaoitwa favourite kama Bayern jana.hawa villareal ni watu wakuwaendea very agressive si wa kuwachukulia poa kabisa kwa mpira niliouona wakicheza dhidi ya buyern wana mpira flani wa kaunta na mashambulizi yakushtukiza ni wakuwa nao makini sana hasa ile high line yetu tunayotumia
Uefa subs ni tano ndo maana amepiga rotation hiiKlopp has some balls yaaani Keita, Milner na Henderson jamani...
Haya ngoja tuone.
YNWA
Gomes.Kikosi hakijakaa vyema sana.....au ndo anawapumzisha kwa ajili ya battle na City)
Sure.
Na mechi inaishia hapaLiv3_B 1
Mechi bado mbichi hiiNa mechi inaishia hapa
Nikalale
Ishaisha mkuu.Mechi bado mbichi hii
3:3 hukoIshaisha mkuu.
Amini nakuambia.