Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Aisee mdogo mdogo kila mmoja anakaa nafasi yake.
Tuatelewana tu.
YNWA




Yaani wewe unatupigia ramli wakati una mechi pia??Hapa Liverpool wanajiona wapo final....hata buyern baada ya draw alijiona yupo semi final lakin that is football
![]()
,,wewe kashinde mechi zako.Mwache apige ramli. Nilisema path ya Liverpool akiwepo porto tu basi lazima tuingie Final...kuna muhuni akanidhihakiYaani wewe unatupigia ramli wakati una mechi pia??
Sisi ndo tunatinga fainali hivyo,,wewe kashinde mechi zako.
Eti pamoja na uwendawazimu wao😂😂😂😂😂😂😂😂🙌Kweli mkuu , ishu ya mastaa pale ni kama ugonjwa wa covid 19...lakini kwa taarifa nilizozipata kutoka jiji la Manchester, ni kwamba bodi pamoja na uwendawazimu wao, wameamua kumpa rungu la ku ondoa unncessary wastes hao mastaa na kwamba mtu ambaye ataona haipiganii timu basi aondolewe awekwe benchi atafute timu nyingine ya kucheza kipoyoyo, na kuna watu washaanza kutafuta timu na wengine washaanza kuwaza kuondoka akina pogba na wenzake
Anaweza akajikuta city yake hafuzuMwache apige ramli. Nilisema path ya Liverpool akiwepo porto tu basi lazima tuingie Final...kuna muhuni akanidhihaki
Ollachuga akiona hii atatamani azimie🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Inter ,benefica ,Villarreal ......hii sio Europa kweli,game za Liverpool zote ni sawa na Europa kabisa![]()

muda mwingine hii inatutia pressure kuwa na high line duh.......
Nanyinyi leo hamtoboi na hamtaamini macho yenu.Mashabiki wa Chelsea hawaonekani humu kabisa sijui, ila wangeshinda wangetukeshea hum![]()
Muulize Atletico tulimfanya nini kwenye group stagesInter ,benefica ,Villarreal ......hii sio Europa kweli,game za Liverpool zote ni sawa na Europa kabisa![]()