Narekeremo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 722
- 768
Wadanganye labda ma vikombe ya uji.Liverpool, nasikia huko Munich kuna msiba wa kitaifa, huu ni wakati wenu kupiga dabo dabo makombe, mkono wa kulia EPL, mkono wa kushoto UEFA. hii ndio nafasi yenu.


