Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Skizeni nyie kuku ..ngoja nimalizane na hii mbanga madirid halafu nirudi na mashambulizi ya kutosha hapa.
This is Chelsea💙💙💙
 
Niliwaambiaga Bayern hawezi chomoka mkakataa wale mashabiki wa cheltako sasa sijui mmeamini?
Bayern ndio wafungaji bora mpaka sasa msimu huu Champions League na mpaka vijana wa Unai wanawatupa nje hakika si mchezo kazi imefanyika.

Wamepata shoti moja on target na imekua goli. Hongera kwa Unai hawajapaniki kama ambavyo walitulia Kwa Bibi Kizee na leo Bavaria hawajapaniki kabisa.

YNWA
 
Skizeni nyie kuku ..ngoja nimalizane na hii mbanga madirid halafu nirudi na mashambulizi ya kutosha hapa.
This is Chelsea💙💙💙
Ushaanza maneno mengiii wakati mechi bado.

Kua na utulivu ndugu. Piga na Sala zote malaika wa ushindi waegemee kwa jamaa waliovaa njano.

YNWA
 
Bayern ndio wafungaji bora mpaka sasa msimu huu Champions League na mpaka vijana wa Unai wanawatupa nje hakika si mchezo kazi imefanyika.

Wamepata shoti moja on target na imekua goli. Hongera kwa Unai hawajapaniki kama ambavyo walitulia Kwa Bibi Kizee na leo Bavaria hawajapaniki kabisa.

YNWA

Mkuu inaonekana jamaa wana defense ya kueleweka sana ni kuwa makini sana.
 
Klop huko aliko kwa sasa hana imani na hili kombe hawa watoto vichaa hakika lazima wamyime usingizi kwa mashambulizi yao ka siafu dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom