Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu bila MF wa uhakika hakuna namna kwa mfumo wa Liverpool ulivyo Robbo na Trent ni MF maana wao ndio creators kazi ambayo kwa timu nyingi zinafanywa na MF...tusubiri msimu ujao tuone kama rasmi sasa Klopp anakwenda na 4 3 2 1 especially baada ya kumpata Fabio na pengine Bissouma.mie high line bado siikubali mpaka mwisho
Twende na high line ila kuwe na nidhamu kujua muda gani kucheza offside.. Hata hivyo jana Fabinho hakua mchezoni nimeona media nyingi zimempa rate ya 6 jana hivyo akiwa ndio DM na amepoteana hakuna kingine zaidi ya mabeki kuzidiwa.
YNWA

anatupia goli... Acha kumlinganisha Jota na hawa wachezaji wako wa bei ghali lakini magoli kusaka ni mizigo.



