Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Foden silenced by Trent aisee na bado wanasema hawezi majukumu yake vyema ya kulinda.
YNWA
Huko man utd kunachekesha
Nimecheka sana
Washaanza kutuogopa kabla hata ya mechiView attachment 2184812View attachment 2184813








Dakika 90 hizo kwioo! Hatuna uwezo wa kucheza na nyie, labda tuende kujifurahisha tu mkuu pale kwenye dimba lenu la mauaji.





Mo akifanikiwa kupewa mkataba mwingine ,anakwenda kuvunja rekodi ya magoli aliyoweka Steve G hapo Liverpool