Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
Saizi unaongea kwa adabu Sasa ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwetu Liverpool tunasema "NEVER SAY DIE"....
Ethad walisubiri jana waongoze EPL kwa pointi 4 too bad haikua hivyo pamoja na udhaifu wetu jana kushindwa kucheza mpira wetu tumetoka na pointi 1 ni jambo njema sana.
Jumamosi Wembley tarehe 16/4/22 tunapata tena nafasi ya kutafuta kuingia FA fainali dhidi ya Manchester City naamini pale Klopp atafunguka vyema kusaka ushindi na hamna cha kupoteza ni aidha ushindi ama tupo nje ya FA.
YNWA
Japo si mshabiki wa hizi timu mbili ila hii game mkuu ilikuwa muhimu kwa pande zote mbili ilikuwa either Man City akufunge aongeze gape la point 4 au umtoe pale juu na of course kutoka draw ni ushindi kwa pande zote mbili.Kwetu Liverpool tunasema "NEVER SAY DIE"....
Ethad walisubiri jana waongoze EPL kwa pointi 4 too bad haikua hivyo pamoja na udhaifu wetu jana kushindwa kucheza mpira wetu tumetoka na pointi 1 ni jambo njema sana.
Jumamosi Wembley tarehe 16/4/22 tunapata tena nafasi ya kutafuta kuingia FA fainali dhidi ya Manchester City naamini pale Klopp atafunguka vyema kusaka ushindi na hamna cha kupoteza ni aidha ushindi ama tupo nje ya FA.
YNWA
Chelsea bado wanatengeneza timu ambayo Itakuwa ni tishio😀😀Kwa hio hao ma staaa wako ambao Liverpool hatuna wamekufikisha wapi EPL msimu huu.
Tuache maneno mengi, data ziongee tazama msimamo wa EPL.
View attachment 2183428
Haya sasa hao ma staa wako hawachezi Ligi hii?
Duuh ila haya mambo acheni tu leo hii Chugga anavizia kuingia humu mpaka kwanza apate matokeo. 😂😂😂.. Ligi inaanza alikua hakauiki humu kusema bingwa ni yeye tu.
Haya wewe koma na ma staa wako sie na hawa wa kwetu tuna Carabao ambao ma staa wako hawakucheza😂😂😂
YNWA
Jipeni Tu matumaini [emoji23]Nyie mna mechi ngumu zaidi kushinda city...mna Newcastle, mna Tottenham hii ya Moto, mna Merseyside derby, Wale nyumbu sio mechi ngumu Labda maajabu yatokee.....na hata hvyo city hawezi kupoteza dhidi ya wolves wamekuwa wachovu Sana msimu huuCity atapoteza dhidi ya wolves
Tutachukua sisi.
We subiri utaona.Jipeni Tu matumaini [emoji23]Nyie mna mechi ngumu zaidi kushinda city...mna Newcastle, mna Tottenham hii ya Moto, mna Merseyside derby, Wale nyumbu sio mechi ngumu Labda maajabu yatokee.....na hata hvyo city hawezi kupoteza dhidi ya wolves wamekuwa wachovu Sana msimu huu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilikuwaje tukatoa Sare zote hizi[emoji3064]
Ila siyo Mbaya..city anaenda kutoa Sare zoote.
Le captain Mtu mzito sana[emoji3059][emoji23][emoji110][emoji110]
Wapo wanatufukuzia point 11 ambazo hata wangetenguka viuno hawatupati[emoji23]Kwa hio hao ma staaa wako ambao Liverpool hatuna wamekufikisha wapi EPL msimu huu.
Tuache maneno mengi, data ziongee tazama msimamo wa EPL.
View attachment 2183428
Haya sasa hao ma staa wako hawachezi Ligi hii?
Duuh ila haya mambo acheni tu leo hii Chugga anavizia kuingia humu mpaka kwanza apate matokeo. [emoji23][emoji23][emoji23].. Ligi inaanza alikua hakauiki humu kusema bingwa ni yeye tu.
Haya wewe koma na ma staa wako sie na hawa wa kwetu tuna Carabao ambao ma staa wako hawakucheza[emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
Wewe unaongea Mambo yaliyopita?Miss Unakumbuka ule msimu LFC tulimaliza na point 97 ila hatukuchukua Ubingwa?
Nikubali Nini mdogo etu?Kwani ukikubali utapungukiwa nn cc? [emoji23][emoji23][emoji23]
Si ukubali tyuuuh, na UCL mnakosa pia. Hahahah.
Hujamwelewa alimaanisha niniWewe unaongea Mambo yaliyopita?
Usiwe mwepesi wa kukata tamaa unaweza kushangaa hata chelsea aka hukua ubingwa [emoji1787][emoji1787]Ubingwa tumeshapoteza kwa matokeo ya mechi hii ya leo maana ndio ilikuwa inaamua nani bingwa EPL 2022 though maneno yangu yanaweza kukosolewa na mwenendo mechi saba zilizobakia kwa Manchester City
Kwa jinsi mlivyocheza hasa kipindi cha kwanza, droo ni ushindi kwenu ila sio rafiki kwa maana ya ubingwaDroo ni mbaya kwetu mkuu ,kama tunataka ubingwa.
Sare ni mbaya kwetu kuliko wao.Japo si mshabiki wa hizi timu mbili ila hii game mkuu ilikuwa muhimu kwa pande zote mbili ilikuwa either Man City akufunge aongeze gape la point 4 au umtoe pale juu na of course kutoka draw ni ushindi kwa pande zote mbili.
Tumevamiwa sasa na watu wa nyuzi za MMU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wee nguvu ya kuongelea City unatoa wapi? Wakati huu uzi wote wakisikia city wanainuka na kusalimu khaaaah.
Pambana na hawa wenzio wa humu, city sio Level zenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini uliona kocha wako alivyo mkumbatia Klopp kwa nguvu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alijua kabisa Klopp sio wa mchezo mchezo maana alijua kabisa ile game kushinda ni kazi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtakuja kufa na pressure, city weka mbali na watoto.
Aisee mbona unakata tamaa kama mashabiki wa Mwanitesa na Arse8. Position tuliyopo matumaini bado ni makubwa 7 games sio chache 21 points still to fight for. Tungefungwa jana hata mimi ningekubali ubingwa baasiUbingwa tumeshapoteza kwa matokeo ya mechi hii ya leo maana ndio ilikuwa inaamua nani bingwa EPL 2022 though maneno yangu yanaweza kukosolewa na mwenendo mechi saba zilizobakia kwa Manchester City
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kwenye kandanda tupo pia.Tumevamiwa sasa na watu wa nyuzi za MMU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jana tulizidiwa hasa kipindi cha kwanza. Anyway bado sijakata matumainiSare ni mbaya kwetu kuliko wao.
Klopp kachemka jana au vijana hawakufuati alichosema.
YNWA