Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Kiujumla nimefurahi sana kwa matokeo ya leo hii.Hata mimi nimefurahi ila first half mke wangu alikuwa akinisemesha nimenuna tu macho yote kwenye tv![]()
Nadhani kwa jinsi Man City walivyokuwa wa moto tangu kipindi cha kwanza, ni sawa na Liverpool kashinda

Ngoja nizidishe sala kwa mechi 7 zilizobakia labda Man City ataweza kupoteza na Liverpool ikakaa kileleni hadi kuchukua ubingwa.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app








