Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe pambana kwanza na Madrid
Nguvu ya kupiga kelele hapa unaitoa wapi??

Umekuwa mtetezi wa city siku hizi?
Madrid tayari hana chake...

Muanze kukusanya kilicho chenu humu ndani maana kuanzia j5 hatutataka kumuona shabiki yeyote wa liverkuku humu.
 
Nyie lazima mtatulia tu

Una game na

Man utd (hii haijalishi united yupo vibaya kiasi gani lakin hapa atawaamkia vzuri )

Spurs ( konte lazima awanyonyoe ndevu kwa kutumia shoka )

Wolves ( Hawa mbwa mwitu hawataacha salama )

Mshukuru Sana var ....hii game tulistaili point 3 kabisa .....


Tukutane FA .......itafahamika tu
Wewe kwa Wolves na Westham hauchomoki

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Nimeridhika kwa hii sare. Kwa jinsi tulicyocjeza na matlkeo tuliyopata kwa naona ni matokeo mazuri.

Tunaendelea kuwafukuzia mpaka mwisho tuone kama itawezekana.

Kila mtu ashinde mexhi zake.
Duuh yaaani utadhani tulifuata sare pale.

Nampa BIG UP Kipara alijiada kushinda hii gemu.

Sisi kupata sare leo hakika ni matokeo safi kwetu otherwise Manchester City leo wamecheza gemu safi kabisa.

Hongera kwa Fabinho pia kumficha Foden maana huyu ndio mbaya kwetu lakini leo hajaonekana.

Manchester City leo walikua na njaa kuliko sisi tazama walivyolinda kwa pamoja na kushambulia kwa pamoja yaaani walijipanga vyema sana kusaka ushindi.

Liverpool leo tumekua na siku mbaya kazini lakini hatujanfungwo sasa kuupata ubingwa tutategemea msaada wa wengine na sisi tushinde gemu zetu.

Haya sasa Manchester City tukutane Wembley kumaliza huu utata nani mkali msimu huu.

YNWA
 
Tunawachezaji wazuri, tatizo lipo tukiwa tunaanza game tunakuwa tumeflop sana, second half ndio tunarudi mchezoni. Na hii tabia ipo tukikutana na tim ambazo zinakuwa zimetukania mfano Chelsea.
 
Wewe kwa Wolves na Westham hauchomoki

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Mhmhmh ki ukweli kama Manchester City akicheza alivyocheza leo gemu zake zilizosalia niseme hatuna chetu kwenye EPL...

Leo Manchester City wame cheza vyema sana japo wapo nyumbani lakini wametukamata ilivyo.

YNWA
 
Tunawachezaji wazuri, tatizo lipo tukiwa tunaanza game tunakuwa tumeflop sana, second half ndio tunarudi mchezoni. Na hii tabia ipo tukikutana na tim ambazo zinakuwa zimetukania mfano Chelsea.
Sijui tunakuwa na wenge gani
Wachezaji wanakuwa hawajatulia kabisa..hawawi organized yaani tunapoteana sana hadi akili kuja kutulia ni baadaye.

Hatukupaswa kufungwa mapema vile
 
Tunawachezaji wazuri, tatizo lipo tukiwa tunaanza game tunakuwa tumeflop sana, second half ndio tunarudi mchezoni. Na hii tabia ipo tukikutana na tim ambazo zinakuwa zimetukania mfano Chelsea.
Kupata hii sare mbona kwangu fresh kabisaaaaa yaaani ni kama ushindi.

Sasa tutegemee another twist ndani ya hizi gemu 7 zilizobakia.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom