Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220406_205937.jpg


Mane is on fire 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥.

YNWA
 
Unataka kujua sisi ni nouma kiasi Gani? Leo tumepoteza kwa sababu hiyo Sasa ..kipigo kizito kitashushwa hiyo jumatano hao Madirid na nyie matakataka mamluki mujiandae maana sisi hatuna Cha kupoteza hasa kwenye game za mtoano.

Unajua Nini kitatokea? Kaa kwa kutulia, tunza hii comment.

#CFCforever
Naona mnashusha kipigo kizito kwa Real madrid
 
Klopp amekataa haaland kuwa hana nafasi kwake kwa sababu ni namba ya ujinga

Chukulia, unachukua haaland kwa pesa ndefu wakati unao wachezaji wenye vitu vingi kama haaland

Diaz, jota firmino salah na mane wanakupa vingini mno bado origi, Japan pia, Tuk 18

Jurgen Klopp ❤️💯 amesema ukweli siyo matusi Haaland unaweza ukapigwa tu hela halafu usitumie kwa mfumo wake aende sehemu nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom