Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo ulisema utasimama na Benfica
Haya sasa..chali
Ngoja tuamie man city kwa muda, Kila la kheri kwake man shitye ..Yani ni mwendo wa kuwasagia kunguni TU, Hawa benfica wameshachafua Hali ya hewa takataka hawa.
Kwanza Wana laana walishalogwaga uko kitambo na kocha wao mmoja hivi myahudi.
Kwa Sasa Kambi ni man city ..oyaa Pain killer tuko pamoja mwanakwetu ..jumapili sijui jumamosi piga hizi kuku BAO tatu Safi..
Come on Shitye..
#manShityeNguvuMoja💪💪💪💪
 
Ngoja tuamie man city kwa muda, Kila la kheri kwake man shitye ..Yani ni mwendo wa kuwasagia kunguni TU, Hawa benfica wameshachafua Hali ya hewa takataka hawa.
Kwanza Wana laana walishalogwaga uko kitambo na kocha wao mmoja hivi myahudi.
Kwa Sasa Kambi ni man city ..oyaa Pain killer tuko pamoja mwanakwetu ..jumapili sijui jumamosi piga hizi kuku BAO tatu Safi..
Come on Shitye..
#manShityeNguvuMoja

Umeshakuwa mkimbizi sasa

Hao shyte wako tutawatandika,sijui utakimbilia wapi
 
Mimi nasema hivi nyie Liverpool msipobebwa jumapili tunapiga goli zaidi ya nne (4) sijaona uimara wenu wa kutuzuia ....labda mpewe penalty za michongo tu ....!
Kama nyie mnavyopewaga penati za magumashi ile vs wolves na game ya Everton mlipewa ushindi wa mezani kabisa

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Kashavurugwo anawaza Jumapili itakua aje.

Sie wala hatuna neno tunakwenda na gemu moja moja hatuna kuwaza kingine...

Kesho vijana warejee salama Anfield kuanza maadalizi ya Jumapili blockbuster game pale Ethad.

YNWA
Citizen tusimpe hata draw, tuchukue zote 3 ili aongeze panik. Nawaza EPL kuliko makombe mengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom