Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Dogo anakila sababu ya kuja kuwa

Imagine ameshatishia namba kwa mane, takumi, Jota , Origi, Bobby kwa muda mfupi tu hivi.
Dogo anapiga na miguu yote miwili na yupo chap kama umeme yaaani huyu chini ya Klopp niseme Sky is the limit.

YNWA
 
Huyu nae anakuwa kama mgeni kwenye mashindano hayo? Au amevurugwa?

Maana iko wazi kabisa kule lazima atletico atafute goli la mapema sana city muda wote wanatakiwa kuwa mchezoni wajiangalie wakifungwa goli mapema jamaa wanarudi kuwapiga counter safari hii wanatafuta magoli hawakai 10 nyuma.

Jamaa anafikiri anacheza na Nottingham forest hapo kwamba Nottingham anakuwa anamuogopa anakaa nyuma tena, halafu yeye ndio ache mpira peke yake,hiyo ni uefa kila mtu hapo ni bingwa na anauwezo.

Halichofanya Simeon namuunga mkono kabisa maana kuna timu zinafanya zinajua zinataka kumaliza mechi round ya kwanza tu wakiwa nyumbani dawa yao ndio hiyo weka kumi nyuma wote ukiwa ugenini.halafu wakija nyumbani kwako lazima watakuwa wapole tu ndio mcheze mpira sasa.
Aisee nacheka kwa dharau Sana
 
Hivi unadhani Atletico ataanza tu game kwa kupaki basi?

Ataianza game kwa kukuwashia moto mpaka apate goli 1 tu then atapaki Basi avizie Kaunta.
"ataanza game kwa kukuwashia moto mpaka apate goli 1 tu then apark bus kusubili counter attack". Najua mna maumivu makubwa Sana jeraha alilowapa semion hapo anfield Bado linawatesa na Bado hamuamin kuwa man city kashamiweza semion na tunaenda kumtoa


nacheka kwa dharau Sana nikiona hii comment "et atawasha moto mpaka apate goli 1 " too emotional yaani inaonekana huamini kabisa
 
Yaaani Everton wakishuka daraja nakuhakikishia yule Refa wa ile mechi ahame nchi maana watamsaka popote alipo..
View attachment 2177524

Huu ndio ushindi wa mchongo ulikua na kuna VAR bure kabisaaaaaa.

Tangu mechi ile Everton hawajawai kua sana tena ni kama iliwavuruga mahala yaaani.

Referee alikua Paul Tierney na VAR alikua Chris Kavanagh wote hawa wana deni kubwa na hofu kubwa pale Everton
Hawa hapa
Paul
View attachment 2177532

Chris
View attachment 2177533


YNWA
Mkuuu hivi kama unaakili timamu naomba uangalie kama hio picha hapo huo ni mkono au mguu ulioshika mpira ,mtakufa kwa kuedit mpaka mkome
 
Huyu nae anakuwa kama mgeni kwenye mashindano hayo? Au amevurugwa?

Maana iko wazi kabisa kule lazima atletico atafute goli la mapema sana city muda wote wanatakiwa kuwa mchezoni wajiangalie wakifungwa goli mapema jamaa wanarudi kuwapiga counter safari hii wanatafuta magoli hawakai 10 nyuma.

Jamaa anafikiri anacheza na Nottingham forest hapo kwamba Nottingham anakuwa anamuogopa anakaa nyuma tena, halafu yeye ndio ache mpira peke yake,hiyo ni uefa kila mtu hapo ni bingwa na anauwezo.

Halichofanya Simeon namuunga mkono kabisa maana kuna timu zinafanya zinajua zinataka kumaliza mechi round ya kwanza tu wakiwa nyumbani dawa yao ndio hiyo weka kumi nyuma wote ukiwa ugenini.halafu wakija nyumbani kwako lazima watakuwa wapole tu ndio mcheze mpira sasa.
Simeion kafanya Nini Sasa pale ,,,kashafungwa Bado unasema unamuaminia daaa endelea kuteseka mkuu
 
Yaaani Everton wakishuka daraja nakuhakikishia yule Refa wa ile mechi ahame nchi maana watamsaka popote alipo..
View attachment 2177524

Huu ndio ushindi wa mchongo ulikua na kuna VAR bure kabisaaaaaa.

Tangu mechi ile Everton hawajawai kua sana tena ni kama iliwavuruga mahala yaaani.

Referee alikua Paul Tierney na VAR alikua Chris Kavanagh wote hawa wana deni kubwa na hofu kubwa pale Everton
Hawa hapa
Paul
View attachment 2177532

Chris
View attachment 2177533


YNWA
Rudi nyuma ka edit vzuri mkuu ,unazidi kuonesha ujinga wako hadharani na kila mtu humu anakuona mamruki tu ......angaliaa hapo kama huo ni mkono mlioweka au mmeedit mpaka mkasahau kuku ni kuku tu walahi
 
"ataanza game kwa kukuwashia moto mpaka apate goli 1 tu then apark bus kusubili counter attack". Najua mna maumivu makubwa Sana jeraha alilowapa semion hapo anfield Bado linawatesa na Bado hamuamin kuwa man city kashamiweza semion na tunaenda kumtoa


nacheka kwa dharau Sana nikiona hii comment "et atawasha moto mpaka apate goli 1 " too emotional yaani inaonekana huamini kabisa

Mkuu hao atletico tulikuwa kundi moja mechi zote mbili tumewafunga yaani nje ndani tumejipigia.
 
Rudi nyuma ka edit vzuri mkuu ,unazidi kuonesha ujinga wako hadharani na kila mtu humu anakuona mamruki tu ......angaliaa hapo kama huo ni mkono mlioweka au mmeedit mpaka mkasahau kuku ni kuku tu walahi
Kwamba hata Mwajili wa Marefa UK hakuwaomba msamaha Everton kwa maamuzi sio sahihi kunyimwa ile penati wewe haya jitoa ufahamu haya yote wala sio mimi ama Liverpool yapo well documented mahala sahihi ni rekodi zipo.

Ushindi wako dhidi ya Everton ni ushindi wa mchongo hakuna kingine aidha makusudi ama la watajua wenyewe ila Paul na Chris.

Penye ukweli sema ukweli ndugu unaweka ushabiki pembeni tafuta ile mechi tazama tena utaona hata Rodri mwenyewe alijua ameua gemu ila kwa vike ukweli mchungu wewe komaa tu.

YNWA
 
Kwa performance ya Leo nasema tena leteni Hilo jogoo Etihad tulimangeee
Kwa performance yetu kule Lisbon kwa kweli tupo tayari kwanza sina uhakika kama Wanda mtatoka salama.

Mchague moja sasa aidha mkomae na EPL mpambane haswa Jumapili mtoke kifua mbele ama mhifadhi nguvu kumwedea mazima El Cholo nyumbani na hua hafungiki kirahisi.

Ukumbuke Pep mission yake kuu ni kuwapa Mansour taji ambalo wanaliota la UCL lakini kwa namna mlivyocheza jana sina hakika kama kule Wanda Metropolitano mtatoka kifua mbele.

YNWA
 
somehow uwepo wa marefa wote wawili toka Manchester ni advantage kwetu,
kwanza pressure itakua kubwa kwao kuipa advantage ya aina yoyote city,
pili kosa lao dhidi ya everton litaendelea kutawala vichwa vyao, hivyo hawatakua radhi ku-jeopardize carrier zao kwa kuibeba city kwa mara nyingine

it could be a blessing come sunday, na sitashangaa tukipewa favor somehow
 
Yaaani Everton wakishuka daraja nakuhakikishia yule Refa wa ile mechi ahame nchi maana watamsaka popote alipo..
View attachment 2177524

Huu ndio ushindi wa mchongo ulikua na kuna VAR bure kabisaaaaaa.

Tangu mechi ile Everton hawajawai kua sana tena ni kama iliwavuruga mahala yaaani.

Referee alikua Paul Tierney na VAR alikua Chris Kavanagh wote hawa wana deni kubwa na hofu kubwa pale Everton
Hawa hapa
Paul
View attachment 2177532

Chris
View attachment 2177533


YNWA
Hakika Everton wakishuka hawa jamaa watakua na maisha magumu Sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom