Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
My prediction toward semi- final Atletico Madrid, Liverpool, Real Madrid and Bayern Munich
Siku zote Mimi sinaga wasiwasi watabiri mammruki kama Hawa ila japo hata Mimi Sion city tukichukua CL ...lakini Hilo kombe Lina chukuliwaga na timu ambayo ipo underrated Sana hao sijui buyern , Liverpool wanaweza ishia kwenye midomo yenu et watachukua CL,....!
 
Liverpool kumsajili Carvalho 🔥🔴

Liverpool wapo mbioni kumsajili Fabio Carvalho kutoka Fulham.

Makubaliano yamefikiwa na Liverpool wamekubali kutoa Euro Milioni 5 kama ada ya uhamisho na Euro Milioni 2.7 kama ada ya nyongeza kuwapa Fulham. Dili hili lilikubaliwa mwezi Januari lakini likayeyuka muda mfupi kabla ya dirisha la usajili halijafungwa.

Fulham pia wameweka kipengele ikiwa Carvalho atauzwa kwenda timu nyingine na Liverpool wapewe 20% ya mauzo hayo.

Mkataba utakua hadi mwaka 2027 (miaka mitano) na mshahara tayari makubaliano yameshafanyika kati ya pande mbili.

Hakuna mipango ya kumrudisha Fabio Carvalho kwa mkopo kuchezea Fulham, anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha Liverpool msimu ujao.

Vipimo vya kitabibu tayari vimeshafanyika huko Liverpool kwa ruhusa ya Fulham na Jurgen Klopp tayari ameshafanya mazungumzo na mchezaji.

Taarifa kamili ya usajili huu haitatolewa sasa au wiki chache zijazo lakini itatolewa haraka mwishoni mwa msimu huu kuwaheshimu Fulham na mashabiki wao.

[Fabrizio Romano]

NB: Fabio Carvalho msimu huu amecheza michezo 30, amefunga magoli 8 na pasi za magoli 7. Ana umri wa miaka 19. Ni kiungo mshambuliaji wa katikati.

Mnauonaje usajili huu, Wekundu?🤔
 
Liverpool kumsajili Carvalho

Liverpool wapo mbioni kumsajili Fabio Carvalho kutoka Fulham.

Makubaliano yamefikiwa na Liverpool wamekubali kutoa Euro Milioni 5 kama ada ya uhamisho na Euro Milioni 2.7 kama ada ya nyongeza kuwapa Fulham. Dili hili lilikubaliwa mwezi Januari lakini likayeyuka muda mfupi kabla ya dirisha la usajili halijafungwa.

Fulham pia wameweka kipengele ikiwa Carvalho atauzwa kwenda timu nyingine na Liverpool wapewe 20% ya mauzo hayo.

Mkataba utakua hadi mwaka 2027 (miaka mitano) na mshahara tayari makubaliano yameshafanyika kati ya pande mbili.

Hakuna mipango ya kumrudisha Fabio Carvalho kwa mkopo kuchezea Fulham, anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha Liverpool msimu ujao.

Vipimo vya kitabibu tayari vimeshafanyika huko Liverpool kwa ruhusa ya Fulham na Jurgen Klopp tayari ameshafanya mazungumzo na mchezaji.

Taarifa kamili ya usajili huu haitatolewa sasa au wiki chache zijazo lakini itatolewa haraka mwishoni mwa msimu huu kuwaheshimu Fulham na mashabiki wao.

[Fabrizio Romano]

NB: Fabio Carvalho msimu huu amecheza michezo 30, amefunga magoli 8 na pasi za magoli 7. Ana umri wa miaka 19. Ni kiungo mshambuliaji wa katikati.

Mnauonaje usajili huu, Wekundu?
Huyo dogo yupo vizuri sana akipata coaching ya Klopp atakuwa
 
If Chelsea had won, by this time you would see

Jorginho for Balon d or
1 Thiago Silva is 37 but plays like 21
2 Kai havertz is a big game generational talent
3 The earth is covered by by 70% water and the rest is covered by kante
4 Mason mount is the next Iniesta
5 Reece James the best RB
6 Mendy the best goalkeeper ever.
Thank you Real madrid for saving the world from noise pollution from this average team😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom