mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,180
- 3,458
Nilivyoona tu unashabikia arsenal NILIAMUA KUKUSAMEHE BURE....Ni kweli mmeshinda ila mpira mliocheza ni wa kawaida sana sidhani kama mna ubavu wa kushindana na city na mkikutana nao ndio mtajua hamjui



