Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jana Paul merson a.k.a former Arsenal man...alichukia sana.
Anadai bado liver anahali ngumu maana kwa game mlizobaki nazo liver...itawabidi mshinde kila game, lakini ukiangalia kwa game alizobakisha city kwa upande wake ngumu labda ni Liver ila kinacholeta hope mnaenda etihad...nyengine labda ni westham na wolves kwasababu anawafuata ugenini.

Ila nyie bado mpo na Rivals wenu yani UNITED ambaye yupo desperate na kutinga top4 na TOFFEES ambaye anataka kuavoid relegation...sawa wanaweza wasiwe kwenye form bora hivi sasa lakini adui wa jadi ni adui tu...msipokuwa makini apa yeyote anaweza akawakata points maana hizo mechi hawatakubali kirahisi pamoja na ubovu wao walionao, yasije wakuta yale ya 2018/2019 mkakimbiza ubingwa hadi mwisho kwa tofauti ya point.1 tu.

View attachment 2153686

City hatupo kwenye form mzee kama kipindi kile ,hapa ni either Liverpool mwenyewe ajichanganye tu ...! Japo fixture yetu inaonekana nyepesi lakin team yetu Bado haipo on fire ...!
 
Paul merson anasema katika hii vita ya title race yeye ni bora awe upande WETU CITYZENS! Kuliko kwenu liverkuku.

Screenshot_20220317-091836.jpg
 
City hatupo kwenye form mzee kama kipindi kile ,hapa ni either Liverpool mwenyewe ajichanganye tu ...! Japo fixture yetu inaonekana nyepesi lakin team yetu Bado haipo on fire ...!
Mzee sidhani lama kuna haja ya kuwa na wasiwasi katika hilo believe kwamba vijana wa CityBoyz! watapewa sumu na pep...kazi itakuwa ngumu ndio na pale etihadi damu itatoka kazi haitokuwa rahisi kihivyo maana kila mtu anaona upenyo wa kuvishwa Taji lakini City tuta tetea taji letu.

Maligends hawakosei ndugu...japo tulisuluhu na palace.

Screenshot_20220317-091818.jpg
 
Jana Paul merson a.k.a former Arsenal man...alichukia sana.
Anadai bado liver anahali ngumu maana kwa game mlizobaki nazo liver...itawabidi mshinde kila game, lakini ukiangalia kwa game alizobakisha city kwa upande wake ngumu labda ni Liver ila kinacholeta hope mnaenda etihad...nyengine labda ni westham na wolves kwasababu anawafuata ugenini.

Ila nyie bado mpo na Rivals wenu yani UNITED ambaye yupo desperate na kutinga top4 na TOFFEES ambaye anataka kuavoid relegation...sawa wanaweza wasiwe kwenye form bora hivi sasa lakini adui wa jadi ni adui tu...msipokuwa makini apa yeyote anaweza akawakata points maana hizo mechi hawatakubali kirahisi pamoja na ubovu wao walionao, yasije wakuta yale ya 2018/2019 mkakimbiza ubingwa hadi mwisho kwa tofauti ya point.1 tu.

View attachment 2153686
Kwahiyo huyo Paul ndio anakutisha na maneno yake?

Kwa akili ya kawaida tu unadhani man u atatufunga nyumbani??
Hakuna mechi ya kupoteza hapo kwetu.

Nyie wolves atawachakaza na sisi tunakuja kuwachakaza.
Mchezo utakuwa umeishia hapo.
 
Kwahiyo huyo Paul ndio anakutisha na maneno yake?

Kwa akili ya kawaida tu unadhani man u atatufunga nyumbani??
Hakuna mechi ya kupoteza hapo kwetu.

Nyie wolves atawachakaza na sisi tunakuja kuwachakaza.
Mchezo utakuwa umeishia hapo.
yangu macho
 
Mzee sidhani lama kuna haja ya kuwa na wasiwasi katika hilo believe kwamba vijana wa CityBoyz! watapewa sumu na pep...kazi itakuwa ngumu ndio na pale etihadi damu itatoka kazi haitokuwa rahisi kihivyo maana kila mtu anaona upenyo wa kuvishwa Taji lakini City tuta tetea taji letu.

Maligends hawakosei ndugu...japo tulisuluhu na palace.

View attachment 2153713

Tushukuru tuna game na Liverpool lakin city ya 2018/2019 tunakimbizana point 1 ilikuwa hatari ....tulikuwa na wakatili wanaoamua match mzee sane alikuwa moto ,arguero , gundogun alikuwa sio wa Sasa mzee ,bernado alikuwa anavunja vunja mid za team yeyote ,Vincent kompany alikuwa kisiki hatari ndio alihakikisha tunapata ushindi dhid ya lecister ngumu kwa ule mshutii na ndio matumain ya Liverpool yaliisha ....kwa Sasa players wakatili golini kama aguero ,kisiki kama Vincent hawapo .....sane ailiwaua man utd pale OT kwa mshuti kama wa jota jana ....mzee ukiangalia saizi Rodrigo ndio tunategemea afanye kazi ya kompany ataweza ?,mzee wa kuwafunga Liverpool aguero Tena kwenye angle ngumu hayupo ....saizi tuna false nine ya bernado ,au KDB ambayo sio katili kivile japo more chance tunatengeneza ....! Hii inapelekea kushindwa kuaamua game kwenye match za mhimu zinazohitaji point 3 mhimu.....but wacha tuangalie mwamko vs saton jumapili ....

Na ndio mwaka ambao tulimfunga Liverpool etihad kama sikosei ...2-1 ambapo aguero alitupia goli ,firmino akasawazisha then sane akatupia goli la ushindi ...

Kuhusu game ya Etihad Wala Liverpool asije kichwa kichwa anaweza kula kichapo kikubwa tu kwani mara ya mwisho tumempiga 4-1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom