Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee tunachojali sie ni pointi 3 ugenini Emirates hayo ya Manchester City kutufunga ama kumfunga sio wakati wake.

Tuelewane wenzio tunachukua mechi baada ya mechi haya mambo ya kuchukua mechi jumla jumla yaliisha wakati wa akina Fergie na Wenger kwa sasa ligi hii lolote linaweza tokea ndugu.

Tottenham kampige Manchester City lakini kapigwa na Manchester United ambae nae kapigwa na Manchester City yaaani hii ligi haina matokeo ya mfukoni kwa kuweka mambo sawa ni kua positive muda wote kwamba upo ushindi.

YNWA
Kabisa
Tunachojali ni point 3 tulizopata..hayo mambo mengine ni stori zake😂
 
Unatafuta matatizo na wale maboya hawachelewi kukumwagia mialiko ya conferences September .

On serious note:
Usisokote aisee..hata huyu TAA nilikuwa namzimia sana,,tangu alivyosokota sijui amekuwaje yaani..kama kavuta bangi Fulani hivi.
Sema tupo tofauti mkuu, sema hiyo dred yake ipo tofauti na hizi nilizozizoea .mimi pia huwa sivutiwi na dred ila kwa hapa nisiwe msiri nimezipenda za huyu dogo.
 
Sema tupo tofauti mkuu, sema hiyo dred yake ipo tofauti na hizi nilizozizoea .mimi pia huwa sivutiwi na dred ila kwa hapa nisiwe msiri nimezipenda za huyu dogo.
Na asili ya nywele yake inachangia.
Ni chotara,,,hana kipilipili.. Ana nywele flani amazing ndiyo maana zipo tofauti na dreads zetu za vipilipili
 
AC Milan have already made a proposal to sign Divock Origi on a free transfer. He's not extending the contract with Liverpool, current deal expires in June and AC Milan are pushing to complete the agreement #ACMilan

Club confident - working on the deal as reported yesterday. #LFC
He has been good to us

No origi, no party
 
Unatafuta matatizo na wale maboya hawachelewi kukumwagia mialiko ya conferences September 😂.

On serious note:
Usisokote aisee..hata huyu TAA nilikuwa namzimia sana,,tangu alivyosokota sijui amekuwaje yaani..kama kavuta bangi Fulani hivi.
Mkii weee hupendi dreads ebooo..wewe wa wapi😭😭😂😂

Ivi Mr wako angekuwa nazo usingeolewa naye ..

Mkuu dreads ni nzuri sana acha ushamba mkuu.
 
Adjustments.jpg

Utabiri wangu leo tutapangiwa city hao
 
Mkuu game ngumu kwangu ni kama timu nilitoka sare au nilifungwa.

Lakini hao Man U tumewapiga tano bila wakijitahidi watapunguza magoli lakini kushinda big no.

Timu zote zilizobaki tumeshazifunga round ya kwanza isipokuwa Spurs na man city tulitoa sare.

Sina wasiwasi na timu yoyote zaidi ya hizo.

Vipi wewe ugumu wa timu umeangalia nini?
hao ni wazee wa kukamia, na ndio hofu yangu. hawakawii kutuachia majeruhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom