Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,427
- 11,150
Ushasalenda tayariTunataka tupewe ninyi liverkuku ili tuwatoe mapema ..muendelee kupambania epl ..au munasemaje wazee![]()

hata huko CL tunalitaka kombe pia...Ushasalenda tayariTunataka tupewe ninyi liverkuku ili tuwatoe mapema ..muendelee kupambania epl ..au munasemaje wazee![]()

hata huko CL tunalitaka kombe pia...Una maneno mengi sana mkuuwanyonge?!! unaijua chelsea vizuri mkuu.? juzi umetoutea kale kakombe cha uji ndio unajiona una timu ya maana hasa baada ya kumpiga kibonde arse8..!??! subiri tupangwe na nyoe tuwawashiye moto ninyi kuku..😀😀
Jamani aliyelileta hili lopolopo alirudishe lilipotokawanyonge?!! unaijua chelsea vizuri mkuu.? juzi umetoutea kale kakombe cha uji ndio unajiona una timu ya maana hasa baada ya kumpiga kibonde arse8..!??! subiri tupangwe na nyoe tuwawashiye moto ninyi kuku..😀😀
wanyonge?!! unaijua chelsea vizuri mkuu.? juzi umetoutea kale kakombe cha uji ndio unajiona una timu ya maana hasa baada ya kumpiga kibonde arse8..!??! subiri tupangwe na nyoe tuwawashiye moto ninyi kuku..😀😀
Huyo ni mtu wa Joke mkuu ndio maana kila nyuzi watu wanampenda.ila wewe jamaa sijawahi kuelewa kabisa ,yaani inaonekana ni moja kati ya watu wajinga ambao hawajawahu kutokea duniani ....hovyo kabisa ,una maneno machafu Sana unafaa kupuuzwa ..maneno yako sio ya kishabiki kabisa
Hapana Hilo tangazo halikuanza Jana mkuu,karibia wiki mbili nyuma walikuw hawaoneshi match za ligia hawaoneshi
Kama ni nyumbu waliahidi kukunyanyasa ukifungwa basi hao halali yako na wewe kawanyanyase, nikajua ni fans wa Arsenane ndio maana nikawaombea huruma yako maana wao hawana kidomo domo kama nyumbu na rent boys.Ilikuwa makubaliano nkamu.
Wakasema kwamba tutaamshana..
Wakasema wataniamsha saa 8 baada ya mechi kuninyanyasa maana nimewanyanyasa sana man u jana mchana
Nikawaambia kwamba hiyo saa 8 ikifika nitawaamsha mwenyewe mje kushangilia ushindi ila hawakuniamini
Japo nkamu nina huruma sana,niliwaacha walale ili sasa leo tupate full time sasa ya kunyanyasana.
Yaani Aseno sina tatizo nao kabisa.Kama ni nyumbu waliahidi kukunyanyasa ukifungwa basi hao halali yako na wewe kawanyanyase, nikajua ni fans wa Arsenane ndio maana nikawaombea huruma yako maana wao hawana kidomo domo kama nyumbu na rent boys.
YNWA









Subiri tuje kuwanyoosha.Kwa hali ilivyo...ile jana arsenal alitakiwa kuifanya kazi kubwa kuliko uwezo wake na hatimaye wameshindwa...SASA SISI CITY HII SHUGHULI TUTAIFANYA WENYEWE tareh 10-April...HATUTAKI TIMU NYENGINE KUJINASIBU ETI ZINAWEZA KUMTULIZA LIVER!...Narudia tena shughuli za wanaume zitafanywa na wanaume wenyewe nasio wavulana.
Nyumbu halali yako aise 🤣🤣🤣Yaani Aseno sina tatizo nao kabisa.
Hii mechi wapambe walikuwa ni man u
Sasa man u wananitishia kuninyanyasa kweli kupitia mechi na Aseno
Hii nchi uhuru umezidi Sana..tunahitaji katiba![]()
Nimewaambia Kwa jinsi wanavyojitoa ufahamu wajiandae kutandikwa bao za kutoshaNyumbu halali yako aise
Wakumbushe tu April 19 tunawasubiri Anfield.

Ila huyu Firmino ni wa muhimu sana japo ni kama haonekani vile
Mimi kabla sijamsoma sana nilimchukulia hivyo,ila nilipokuja kumzoea nikagundua ni mtu mmoja wa mizaha sanaila wewe jamaa sijawahi kuelewa kabisa ,yaani inaonekana ni moja kati ya watu wajinga ambao hawajawahu kutokea duniani ....hovyo kabisa ,una maneno machafu Sana unafaa kupuuzwa ..maneno yako sio ya kishabiki kabisa

Kwa ushindi huu wa jana skysports wanasema title charge is TRULY ON FOR COPS!!!Subiri tuje kuwanyoosha.
Na sisi Kwa level tuliyofikia;hatutaki kucheza tena na wanyonge.
Tunamtaka kipara tumnyooshe.
Jana Paul merson a.k.a former Arsenal man...alichukia sana.Yaani Aseno sina tatizo nao kabisa.
Hii mechi wapambe walikuwa ni man u
Sasa man u wananitishia kuninyanyasa kweli kupitia mechi na Aseno
Hii nchi uhuru umezidi Sana..tunahitaji katiba![]()