Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
tupo kamili kwa mara ya kwanza kwenye eneo la kiungo, karibuni naimani tuta raise game kama dhidi ya city,
Last time tulipo wafunga zile 4 bila mlikuwa kwenye form hatari, ilikuwa baada yakufungwa Na city na chelsea,hamkufungwa tena kwenye mechi 8 mfululizo kwenye ligi mkashinda mechi 6 Mechi mbili mkatoka sare mlivyokutana na Liverpool mkala goli 4 hizo.


.