hamuna hata ela ya kumlipa Salah ..Ndio mungepata matatizo kama yetu kweli mungesavaivu hata ndani ya week?
Lukaku mida wake ukifika atatupia hadi mushangae. Huyu sallah ni upepo tu umemuendea vizuri. Halafu mfumo wa chelsea haitegemei mchezaji mmoja kufunga.View attachment 2150169
Epl goli 20 msimu huu. Na bado kadhaa.
Hivi OllaChuga Oc Lukaku ana ngapi?
YNWA
hii game mnakalishwa mapema tu saivi arse8 yuko moto ..Subiri sisi tushinde mechi zetu. Taratibu tunarudi tulipotoka.View attachment 2150179
DullyJr na Aaron Arsenal tunakuja Emirates kesho kutwa mpo vzuri jamaa zangu itakua mechi powa sana.
Naona dogo Marteneli ameeleweka na Tite na kumuita kwenye kikosi chake mechi za Kombe La Dunia.
YNWA
Kazi unayo Leo kwa Vieira...Mpaka mnakutana na man utd tayari watakuwa kwenye form nzuri na wanapigania top four kwa nguvu zote ....
Ndio mtajua kwanini Cr 7 ana ballon d'or 5
Acha Ramli wewe,Mpaka mnakutana na man utd tayari watakuwa kwenye form nzuri na wanapigania top four kwa nguvu zote ....
Ndio mtajua kwanini Cr 7 ana ballon d'or 5
tupo kamili kwa mara ya kwanza kwenye eneo la kiungo, karibuni naimani tuta raise game kama dhidi ya city,View attachment 2150179
DullyJr na Aaron Arsenal tunakuja Emirates kesho kutwa mpo vzuri jamaa zangu itakua mechi powa sana.
Naona dogo Marteneli ameeleweka na Tite na kumuita kwenye kikosi chake mechi za Kombe La Dunia.
YNWA
Huyu crystal palace Leo atajuta kuingia uwanjan ...tunampiga sio chini ya goli 5 ....Kazi unayo Leo kwa Vieira...
Definitely nimeanza kumuona Thomas orijino wa Atletico Madrid rasmi na dogo Martin naona ameanza cheche rasmi.tupo kamili kwa mara ya kwanza kwenye eneo la kiungo, karibuni naimani tuta raise game kama dhidi ya city,
Hivi kuna gemu ulisema Liverpool leo mnashinda au gemu zoteee kwako sisi ni kipigo ajabu mdogo mdogo tunatoka kideadea.hii game mnakalishwa mapema tu saivi arse8 yuko moto ..Subiri sisi tushinde mechi zetu. Taratibu tunarudi tulipotoka.
Sisi kwa sasa ni ushindi tu
Hahahaha pale Liverpool kwa sasa ma Scouser ni Jones, TAA na Elliott hawa bwana wanasemaga for the love of the badge wanakua inclined kutulia Liverpool mazingira yakiruhusu design kama Gerrard, Carragher nk sasa hao wachezaji wengine wao badge kwao sio hoja mbali wapo ki ajira ama kimpunga zaidi na kinachowasukuma ukiachana ni kuelewa vyema project ya Klopp ni pesaa kama pesaaaaa.Aende tu Man city na watatunyoosha kweli kweli
Hao wanaoarrange hiyo mikataba ni wajinga sana.
Na wakishindwa kumuongezea mshahara akaondoka basi hii timu itaakiona Cha mtema kuni .
Wajinga hao,vijana wanajituma lakini hawaoni umuhimu wao..huko man u wanashinda kucheza rede mazoezini ila wanalipwa Hela za kutosha..sisi vijana wanataka kuvunja Hadi viuno ila hela za kuwalipa zinawauma sana.
😂😂😂😂😂Salah mchukueni kama kweli mtakua na kiburi tena sokoni maana hamna tena sapoti ya Roman soon mtageuka Tottenham nyie wewe subiri tu.hamuna hata ela ya kumlipa Salah ..Ndio mungepata matatizo kama yetu kweli mungesavaivu hata ndani ya week?
Sisis ndio Chelsea bwana, tunaendelea kutowa vipigo kama hakuna kilichotokea vile.
tupo kamili kwa mara ya kwanza kwenye eneo la kiungo, karibuni naimani tuta raise game kama dhidi ya city,



kipara kapunguzwa kasiSalah hana maajabu yyte sema tu anacheza timu yenye viungo wapishi wengi akiondoka Anfield ndio utakuwa mwisho wake, ukitaka kuamini angalia mechi za EgyptSalah mchukueni kama kweli mtakua na kiburi tena sokoni maana hamna tena sapoti ya Roman soon mtageuka Tottenham nyie wewe subiri tu.
YNWA