Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kwamba unaitaka nafasi ya pili ama namna gani.kwani ligi imeisha? lolote linaweza kutokea tu.
Juzi umekoswa koswa na inter milan ..muda utazungumza
#CFC💙💙💙
Lolote mtajuana huko nafasi ya tatu na nne kwa sasa mbio nakimbizana na Kipara na hio inahitaji utulivu hivyo pambanane hukoo nafasi ya 3 na 4 mengine kwa sasa mtulie hamna huo uwezo.
YNWA


