Huyu crystal palace Leo atajuta kuingia uwanjan ...tunampiga sio chini ya goli 5 ....
Keep watching


kweli kajutaHuyu crystal palace Leo atajuta kuingia uwanjan ...tunampiga sio chini ya goli 5 ....
Keep watching
Duuh kwa hii EPL mchezaji anapiga goli 20+ kwa misimu mitano mfululizo na ma assist kama yote unasema hana maajabu yoyote aisee haya nyie wenye Lacazate mwenye maajabu mnashiriki UCL kila msimu na makombe kibao.Salah hana maajabu yyte sema tu anacheza timu yenye viungo wapishi wengi akiondoka Anfield ndio utakuwa mwisho wake, ukitaka kuamini angalia mechi za Egypt
Wamepata draw kwa mbinde Sana ....tumecheza vzuri hakuna sub Wala Nini ...!kweli kajuta






We are watching kwetu imeisha sare kipara akinuna vipi huko TV ya Ethad mechi ni saa ngapi tuangalia hizo 5.Huyu crystal palace Leo atajuta kuingia uwanjan ...tunampiga sio chini ya goli 5 ....
Keep watching
Mzee ni zamu yenu Sasa Kuchukua epl .....nendeni mkachukue njia ileeeeeeWe are watching kwetu imeisha sare kipara akinuna vipi huko TV ya Ethad mechi ni saa ngapi tuangalia hizo 5.
Upepo umekata ndugu.
Pale panaitwa Selhurst Park muulize Surez atakwambia 2014 nini kilimpata akituumiza dogo Gayle.
Yaaani ubora wa EPL ndio huu matokeo ya mfukoni hamna kabisa.
YNWA




Tumecheza mpira mkali Sana ,Mimi nasema hivi team yetu Bado iko imara ....japo tumeflop lakini tutapambana hivo hivo Hadi mwisho wa games ...!We are watching kwetu imeisha sare kipara akinuna vipi huko TV ya Ethad mechi ni saa ngapi tuangalia hizo 5.
Upepo umekata ndugu.
Pale panaitwa Selhurst Park muulize Surez atakwambia 2014 nini kilimpata akituumiza dogo Gayle.
Yaaani ubora wa EPL ndio huu matokeo ya mfukoni hamna kabisa.
YNWA


Wamepata draw kwa mbinde Sana ....tumecheza vzuri hakuna sub Wala Nini ...!
Kama mnaweza nendeni mkalichukue kombe lile pale la epl![]()
.Wako vzuri ndio maana tumepata draw ...kazi kwenu kuchukua epl tuMkuu msimu huu crystal palace kachukua points 4 kwako wewe umepata 1 tu.
Umeishia kupiga pass 648 kwa pass 169,goli hakuna usesless kabisa.
Crystal wako vizuri Mkuu .
Duuh kwa hii EPL mchezaji anapiga goli 20+ kwa misimu mitano mfululizo na ma assist kama yote unasema hana maajabu yoyote aisee haya nyie wenye Lacazate mwenye maajabu mnashiriki UCL kila msimu na makombe kibao.
Sie tunaridhika kabisa na huyu Salah wa kawaida wala hatuna neno nae akipenda amalizie maisha yake ya soka hapa hapa ni sawa.
Nwei hilo la mfumo wa Klopp kumpa platform ya haya mafanikio upo sahihi japo pia namba zake Roma na Fioretina hazikua mbaya sana.
YNWA
.Wamepata draw kwa mbinde Sana ....tumecheza vzuri hakuna sub Wala Nini ...!
Kama mnaweza nendeni mkalichukue kombe lile pale la epl![]()
Unateseka ukiwa wapi??Wamepata draw kwa mbinde Sana ....tumecheza vzuri hakuna sub Wala Nini ...!
Kama mnaweza nendeni mkalichukue kombe lile pale la epl![]()
Asses ni team on formCP kampunguza Man City huko
Tuzidi omba Mungu tusiwenna majeruhi Jumatano na Arsenal
Ndio pep hamuwezi viera ....Na Itihad 2-0 walishinda kwa mbinde?
Pep hamuwezi Viera.
Period
Nyie ndio mnahangaika kama wafia maji ...sipati picha siku mkikaa pale juuUnateseka ukawa wapi??
