Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi kama Shabiki wa Salah nitasimama na salah wamlipe anacho stahili, pia itaniuma sana akiondoka, wale wanao sema sijui aliondoka Suarez, mara Coutinhoo kiukweli waache kujichetua. Salah katufikisha hapa tulipo sasa na kwamsim huu kwakuwategemea akina Takumi, Firmino isingesaidia aisee ila kijana ni mpambanaji sana.

Achana nae huyo mshabiki wa manchester,anataka kutugombanisha na salah.

Hakuna watu wa Liverpool ambao hawampendi salah. Kila mtu anataka salah abakie ata salah mwenyewe anataka kubaki Liverpool,kwasababu tunampenda sana na hata baki kuwa mioyoni mwetu daima.

Hao mashabiki wa Manchester kuanzia lini wakampenda salah kushinda sisi Mashabiki wa Liverpool?

Mkuu achana nae huyo tushangilie ushindi.
 
View attachment 2148399

Kama unajua hakika unajua tu.

Kwa taarifa ni kwamba dogo Diaz mpaka sasa kingereza hakielewa hivyo inawapa shinda kiasi wachezaji wenzie /mazoezini uwajani lakini wanachoshangaa ni kwenye mechi dogo ana instinct za ajabu sanaa..

Anajua wapi awe kwa muda gani woow this is pure street football flavour.

YNWA
Kumkaba huyu dogo inahitaji moyo wa jiwe
 
Mbona unateseka wakati hayakuhusu we subiria palace wakupige home and away
Hawa fans wa Liverpool wa humu ni f***kin problem wanajichetua humu eti kisa kina dias na jota kwa hiyo Salah hata akiondoka Haina shida ....ni vinabo level ya stg

Salah kama hakuna mkataba wa kunzia 400k per week leave haijalishi utaflop au laah but utakuwa umetunza heshima yako
 
Hawa Arsenal Bobby na Mane walikuwa wakiwawezea kweli kipindi ambacho Mane anacheza Kitimu sio sasahivi ambapo Mane na Salah hata wakabwe na Kifaru basi hawatoi pasi wanapokuwa ndani au karibu na Boksi la Wapinzani.
 
View attachment 2148397

Aisee hivi Lukaku na Werner wanakwama wapi kuleta impacts kama hii darajani kusaka ubingwa wa EPL msimu huu.

YNWA
Msim huu tulikuwa na uwezo wa kucompete kwa epl, ila Injury tulizopata november ndio kila kitu kikaharibikia hapo.

Kama unaweza cheza msim mzima usipate serious injury unao uwezo wa kupigania ubingwa ila injury siku zote ndio huwa kikwazo.
 
Adjustments.jpg
 
Game na Arsenal inanipa wasiwasi sikuhizi wapo vizuri kweli

Tutawafunga tu hao Arsenal ila safari hii goli zitapungua sio 4 zile Za round ya kwanza hizo point tatu ni muhimu sana kwetu.

Wachezaji wetu wote wapo hakuna majeruhi.

Hata kipindi kile tulipo wafunga zile nne walikuwa kwenye form balaa yaani kwenye mechi 8 walikuwa wameshinda 6 sare 2. Ila tulipokutana tuliwafunga 4 bila.

Mechi ya kwanza carabao Anfield walipata sare wakapiga kelele tukienda kwao watatufunga tumeenda kwao tumewafunga 2 bila.

Arsenal haitishi mkuu timu zinazotusumbua zinazokaa nyuma na timu zinazotumia nguvu sana kama burnley
 
Hawa fans wa Liverpool wa humu ni f***kin problem wanajichetua humu eti kisa kina dias na jota kwa hiyo Salah hata akiondoka Haina shida ....ni vinabo level ya stg

Salah kama hakuna mkataba wa kunzia 400k per week leave haijalishi utaflop au laah but utakuwa umetunza heshima yako
That is our problem lil’ wee-wee

LFC on you mind everyday
 
Msim huu tulikuwa na uwezo wa kucompete kwa epl, ila Injury tulizopata november ndio kila kitu kikaharibikia hapo.

Kama unaweza cheza msim mzima usipate serious injury unao uwezo wa kupigania ubingwa ila injury siku zote ndio huwa kikwazo.
Yeah man majeruhi mchawi sana EPL.

Uliona VVD alivyoumia msimu uliopita tulivyoteseka mpaka tunakaa sawa kusaka top 4 tulishachezea sana mpaka basi.

YNWA
 
Hao tulipata nao sare pale anfield,naona waliobaki wote round ya kwanza tuliwafunga kasoro man City na Spurs tu.
Hahahaha we are in a mission man.

We believe.

Klopp kashasema kama kuna shabiki anakata tiketi akidhani tunatoa sare ama kipigo kashauri abaki tu nyumbani kwani anataka mashabiki believers wakiwapa morali wachezaji wetu.

YNWA
 
Dogo anapambana sana soon atakuwa world class player na yeye.

Anakimbia sana uwanjani yaani hawi mvivu.
Imagine lugha ikianza kupanda atawaelewa vizuri walimu na wachezaji wenzake yaaani nyie subirini huyu dogo kawatia upepo mabeki timu pinzani maana hii work rate is tiresome yupo kila eneo.

Ki ufupi sasa hata Jota ashakumbali tu sasa aanzie benchi hana ubishi kwa sasa

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom