Kabisa inapobidi kama vile lazima wote wawajibike na Klopp iliwaadaa kabisa kwa yatakoyanayo siku ile.




Kepa walimwadaa kudaka wakasahau kuna kupigaaa hahaha yakamkuta.
Ni muda wetu wa Liverpool tumechekwa sana, tumeteswa sana, tumesemwa sana mara ooh 1 man team (Salah) sasa unajiuliza zile penati zote alipiga Salah peke yake




.
Klopp ni levo zingine wakati anajenga kikosi wapo waliomuona kama mpita njia lakini sasa nimeona mpaka Rio Ferdinand akiwashauri Manchester United wafuate mbinu za Liverpool kurudi kileleni hivyo wajipe kama miaka miwili kurudi kwenye kushindana na kuwania EPl au UCL yaaani ukiona sworn enemy akina Rio, Neville wanasema jambo njema kuhusu Liverpool ujue jamaa zangu tupo kwenye laiti traki.
YNWA