Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Daah kuna clip nimeiona Thiago analia baada ya kukosa hii fainali dah kwakweli nilitamani sana huyu mtu awepo sema ndo hivo
 
Leo ni leeeeeo🔥🔥🔥❤❤❤
Bhana gemu ngumu sana huyu kipa Mendy ni balaa sana kaokoa point blank shot ya Mane yaaani itakua sevu ya msimu ile.

Ushindi upo vijana wapambane hakika ni fainali safi sana amsha amsha sana.

Diaz hakamatiki yupo kikazi zaidi leo.

YNWA
 
Hizi fainal sio za kukosa nafasi za wazi
Chelsea mkuu sio wepesi hivyo wanasemaga vs Liverpool its means more yaaani.

Gemu ipo wazi margin for errors naona almost identical. Cha msingi ni kuzuia kaunta zao kutopoteza mipira tukiwa kwenye press maana Pulsic kwa kukimbia na mpira ndio mwenyewe.

Naona atakaeshinda ni goli 1 aisee na malaika wa ushindi leo waegemee kwetu.

Rekodi yetu Carabao vs. Chelsea sio nzuri tumekutana mara 8 tumeshinda mara 1 tu hopefully leo ni mara ya 2.

Thiago loss. Whats a miss.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom