Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu nawaza hapa ,inawezekana msimu huu hii ikawa ndio Liverpool bora kuwahi kutokea,kama ikienda hivi makombe yote yaliobaki tukayabakiza pale anfield?
Tulishakumbaliana tukuchukue one game a time hivyo Mkuu lolote linaweza tokea kwa sasa na pazuri kikosi kipo kamili sanaaaa.

Ikitokea tumepata EPL na bonus ya lingine mie fresh tu, ikitokea tumepata yote(makombe ma nne😀😁😀😁🔥) na Klopp ashasema ni ishu ngumu kutokana na uimara wa timu nyingi UK basi itakua kwetu ni bonus kubwa ajabu kutoka kwenye iliyopotea kiasi Deseba na mpaka kuja kua bingwa itakua job well done. Tuna amini, uwezo pia tunao, sababu tunayo, mazingira yanaruhusu itakua mara ya kwanza timu kunyakua yote ma nne kwa mpigo haha noma sanaaa. We dare dream. Boys are ready to push.

Lets dream and dreams come true.

YNWA
 
Kawaida yao hao,ile ya vvd lefa alikubali baadae kuwa Pickford alitakiwa ampe card.
Hivi kwa mfano Everton wakashuka daraja kwa touati tu ya pointi moja duuh yule refa na jopo lake watakua sworn enemies yaani.

Kombe la Dunia wana mpango wa kutumia robot VAR officials kind of ebu tusubiri tuone maana kila siku wanatafuta namna ya kuboresha aisee.

YNWA
 
Hapo kugumu ukibaki misimu minne wewe kocha kweli.
Yule mzee mbishi hivi kweli kwani imekua mchezo wa hand ball eti man marking jamani hivi Robertson na TAA unaweza kweli kuwafanya man marking hivi hivi na ukafanikiwa.

Ma pundits wamesema sanaaaa lakini wapi ni kama Babu alishachoka alitaka safari si bure kabisa.. Leeds wanajua kushuka aafu waanze mbio za kupanda tena sio leo itawavuruga sana mipango yao na pia sio lengo kuu kwao.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Hahaha binafsi hua nasema mara nyingi tu usajili bora wa Klopp kwa ukuta ni Alisson na VVD yaaani hawa wawili wamatuletea mafanikio unayona..

Mtalaam Fergie alikua anasema ukuta imara akimaanisha na kipa utakupa makombe na hakika alikua sahihi kabisa.

YNWA
Kweli kabisa.
Wafungaji hata wawe wazuri kiasi Gani,bila mabeki na kipa ni kazi bute tu.

Nilikuwa najaribu tu kuwaza ,mechi kama ile ya juzi bila beki na kipa kuwa imara basi mchezo ungeisha mapema sana..
Japo mashabiki wengi huwa tukipata ushindi tunawashangilia tu wafungaji bila kuona kazi nzito waliyoifanya wazuiaji.
 
Nawakumbusha tu kuwa Liverpool haijawahi kuvuka FA round ya 4 Toka klopp anafika .....!


Ni mwendo wa kipigo hata akutane na mbeya city uwanjani ...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom