Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 2131585

OllaChuga Oc njoo huku usaidie timu yako kulipa deni la Mrusi yaaani mmekwisha mtaanza kupitisha kibakuri soon mchangiwe. Ona sasa anawadai Paudi bilioni 2 khaa.

Hii timu ichukuliwe tu na Malkia iwe mali ya Wananchi hakuna namna.

Ila huyu jamaa ni genius sana yaaaaani kusikia chokochoko bungeni kwamba mali zake zichukuliwe fasta huyoo kuwatia kwapani.

YNWA
Ndugu huko ulaya sio kama bongo ya mo na Simba ungelielewa Hili wala usingetoa hiyo comment
 
Ndugu huko ulaya sio kama bongo ya mo na Simba ungelielewa Hili wala usingetoa hiyo comment
Nilielewa kiasi chake sema Mr Blue wa Kaskazini aka OllaChuga Oc lazima nimtie baridi ndugu ajikute yupo ligi daraja la 7 hukoo England .

Nafahamu sio rahisi ki hivyo ndio maana hata Boris mwenyewe suala la Roman anajikanyanga.

Hivi mkuu ile ishu wa Stamford Bridge iliishia wapi kujenga uwanja mpya bado wenye uwanja wao wanamkazia Roman ama ndio jaja wambane auze timu.

YNWA
 
Mkuu hao chelsea tunawamaliza mapema kabisa naona wamekuja kupiga kelele kwenye uzi wetu tunawaacha tu wapige kelele.

Hawana timu ya kutufunga hao. Liverpool tuko moto sana ngoja waone wanafikiria tuna tania,tutawashangaza hao hawata amini.
Naamini mwaka wetu huu.

Ule upepo wa majeruhi tayari unaanza kutuachilia wakati mwafaka.

Nina amani sana na timu yetu aidha EPL, Carabao, FA na UCL tupo tayari kupambana, uwezo tunao, sababu tunazo, wachezaji tunao, sioni cha kutuzuia ni bidii kadri vijana wawezavyo.

YNWA
 
Nilielewa kiasi chake sema Mr Blue wa Kaskazini aka OllaChuga Oc lazima nimtie baridi ndugu ajikute yupo ligi daraja la 7 hukoo England .

Nafahamu sio rahisi ki hivyo ndio maana hata Boris mwenyewe suala la Roman anajikanyanga.

Hivi mkuu ile ishu wa Stamford Bridge iliishia wapi kujenga uwanja mpya bado wenye uwanja wao wanamkazia Roman ama ndio jaja wambane auze timu.

YNWA
Wale wazee hawana tofauti na wazee wa team zetu za kariakoo wameendelea kumkazia na wamemuambia kama atataka kujenga abadilishe jina la uwanja na uwe jina lingine tofauti na stamford bridge
 
Wale wazee hawana tofauti na wazee wa team zetu za kariakoo wameendelea kumkazia na wamemuambia kama atataka kujenga abadilishe jina la uwanja na uwe jina lingine tofauti na stamford bridge
Duuuh ila ni roho mbaya na mambo ya maslahi tu hakuna kingine, walinitisha walivyosema hauna bei kabisa yaani na humo yupo pia Jonh Terry

Inanikumbusha mwaka fulani ya 2005 huko kuna kigogo mmoja alijitolea kulipiga rangi jengo la makao makuu ya Simba lakini wazee akina mzee Abuu nk wapambe wakamgomea kwa vile Mwenyekiti hatapata credit yoyote hivyo jamaa yule kigogo ikamlazimu awape hio ela kazi wafanye wao haha unajua kilichotokea duh noma sana wazee.


YNWA
 
Nilielewa kiasi chake sema Mr Blue wa Kaskazini aka OllaChuga Oc lazima nimtie baridi ndugu ajikute yupo ligi daraja la 7 hukoo England .

Nafahamu sio rahisi ki hivyo ndio maana hata Boris mwenyewe suala la Roman anajikanyanga.

Hivi mkuu ile ishu wa Stamford Bridge iliishia wapi kujenga uwanja mpya bado wenye uwanja wao wanamkazia Roman ama ndio jaja wambane auze timu.

YNWA
Plan ilikuwa ya kuexpand stamford bridge ila baada ya mgogoro wa russia na uk n abramovich kushindwa kurenew visa yake, mpango ukasimamishwa.
 
Plan ilikuwa ya kuexpand stamford bridge ila baada ya mgogoro wa russia na uk n abramovich kushindwa kurenew visa yake, mpango ukasimamishwa.
Duuh mwenyewe Roman anakataa hana uhusiano wowote na Putin na haaminiki kabisa hio kauli yake. Hata sasa baadhi ya watu UK wanasema akemee Urusi kuvamia Ukraine aafu yeye kama kawaida kauchuna.

Huyu jamaa yuko smart sana sio mtu wa maneno.

Ingekua hii ishu ya visa ni sorted naona Darajani mngepata Arena moja matata sana.

YNWA
 
Duuh mwenyewe Roman anakataa hana uhusiano wowote na Putin na haaminiki kabisa hio kauli yake. Hata sasa baadhi ya watu UK wanasema akemee Urusi kuvamia Ukraine aafu yeye kama kawaida kauchuna.

Huyu jamaa yuko smart sana sio mtu wa maneno.

Ingekua hii ishu ya visa ni sorted naona Darajani mngepata Arena moja matata sana.

YNWA
Yeah plan, ilikuwa kuanzia msim huu 2021-22 kama sijakosea tulikuwa tunamove stamford bridge kwa mda. Sema ndio vile migogoro ya kidiplomasia akajikuta nayeye anapigwa kakomaliwa
 
View attachment 2131585

OllaChuga Oc njoo huku usaidie timu yako kulipa deni la Mrusi yaaani mmekwisha mtaanza kupitisha kibakuri soon mchangiwe. Ona sasa anawadai Paudi bilioni 2 khaa.

Hii timu ichukuliwe tu na Malkia iwe mali ya Wananchi hakuna namna.

Ila huyu jamaa ni genius sana yaaaaani kusikia chokochoko bungeni kwamba mali zake zichukuliwe fasta huyoo kuwatia kwapani.

YNWA
hahahaha mrusi huyu unamjua wewe😂😂😂
Huyu ameisumbua sana uingereza na mpaka kesho atawasumbua.

Huyu ndio mastermind wa Putin mzee, watu kama hawa wamebaki wachache duniani yani.

Chelsea itaendelea kuwepo hata Roman akiondoka ..Timu za wenzetu ziko imara achana na upumbavu wetu wa bongo
 
hahahaha mrusi huyu unamjua wewe😂😂😂
Huyu ameisumbua sana uingereza na mpaka kesho atawasumbua.

Huyu ndio mastermind wa Putin mzee, watu kama hawa wamebaki wachache duniani yani.

Chelsea itaendelea kuwepo hata Roman akiondoka ..Timu za wenzetu ziko imara achana na upumbavu wetu wa bongo
Alionyesha njia kwa wawekezaji na baada ya kununua Chelsea wengine wamefuata na kuja Liverpool, Arsenal, Manchester City, Manchester United nk.

Nadhani ndio mmiliki mwenye mafanikio makubwa UK ya vikombe 20 tangu mwaka 2003 mpaka sasa ndio maana Chelsea wanaitolea macho wenye balaa.

YNWA
 
Yeah plan, ilikuwa kuanzia msim huu 2021-22 kama sijakosea tulikuwa tunamove stamford bridge kwa mda. Sema ndio vile migogoro ya kidiplomasia akajikuta nayeye anapigwa kakomaliwa
Duuh poleni sisi pale Anfield ujenzi unakwenda powa kabisa kuanzia msimu wa 2023 uwanja wa Anfield utakua na uwezo wa kuchukua watazamaji 61,000+ baada ya kukamilika.

Kwa sasa Darajani mtulie hii vita iishe Roman ajipange tena kuwajengea Arena ya maana.

YNWA
 
Hapa Liverpool wanajiona washamaliza kila kitu ....yaani wanatembea wamevimba kichwa kama tikitiki maji et uefa ,epl ,fa ,carabao ni vyao ....

Yaan ni vile tu hamjui kitu inayoenda kuwakuta
 
Amerudi huko
Adjustments.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom