Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 17,158
- 19,803
Jurgen Klopp huwa ananifurahisha sana jinsi alivyo na mbwembwe!
Jurgen Klopp huwa ananifurahisha sana jinsi alivyo na mbwembwe!
Unaona aje tukutane tena na Chelsea baada ya kumalizana nae Wembley.Naona fainali yetu ya UCL tutaenda kucheza Pariz sijui tutacheza na nani.View attachment 2130993
Mkikutana na Chelsea then chelsea tunachukuaUnaona aje tukutane tena na Chelsea baada ya kumalizana nae Wembley.
YNWA
Itapendeza sana tumfurushe bila kikombeUnaona aje tukutane tena na Chelsea baada ya kumalizana nae Wembley.
YNWA
Kocha kwasema Kovacic yupo available subiri mkutane na watu wa kazi pale Kati Kovacic na Kante na kizuri zaidi James amerudi sipati hiyo picha hiyo gameView attachment 2130952
MF maestro mechi ya Leeds kafikisha rasmi mechi 50 kucheza tangu ametua Anfield.
Kwa sasa naona Klopp washajua namna ya kupangalia dakika zake uwanjani ili kupunguza majeraha ya mara kwa mara.
YNWA
Hiyo kusema mkifunga goal 2 tumewamaliza tunaweza kuongeza zaidi unazungumzia Chelsea ipi Unaweza kufanya hivyo au ushajitoa ufahamu nyinyi si mlitufunga goal 2 ndani ya half ya 1 hiyo hiyo zikarudi zote na tukawazidi game mpaka mkatamani game iishe au sio nyinyiWakuu jpili Game itakuwa kali sana binafsi sitaki kuzungumzia kiushabiki ila mimi naona ni 50/50 hapo hapo sisi tukifunga goli 2 bc tumewamaliza tunaweza kuwafunga na mengine ila Chelsea akishapata goli 1 tu wametumaliza wanajuaga kulinda sana ni muda muafaka sasa wa klop kuchagua kikosi kizito chenye nguvu siku ya jumapili
YNWA LFC❤️
Hanna ubavu wakuchukua mbele ya chelseafc ya TTItapendeza sana tumfurushe bila kikombe
hahaahaa eti fainali yenu ..Sisi hatuna jambo tena uefatumeishaitia kwapani ..Kuchomoka ni ngumu ..Nyie pambanieni top four tuNaona fainali yetu ya UCL tutaenda kucheza Pariz sijui tutacheza na nani.View attachment 2130993
baada ya ushindi wao dhidi ya leeds na inter basi vichwa vimevimba washajiona wao ndio wakubeba kila kombe😂😂😂Hiyo kusema mkifunga goal 2 tumewamaliza tunaweza kuongeza zaidi unazungumzia Chelsea ipi Unaweza kufanya hivyo au ushajitoa ufahamu nyinyi si mlitufunga goal 2 ndani ya half ya 1 hiyo hiyo zikarudi zote na tukawazidi game mpaka mkatamani game iishe au sio nyinyi
[emoji16] haya bwana.Fainali yetu.daaahNaona fainali yetu ya UCL tutaenda kucheza Pariz sijui tutacheza na nani.View attachment 2130993
Kovacic na Kante mzee baba ni MF makini sanaaa. Naona majeruhi kwako ni Chilwell.Kocha kwasema Kovacic yupo available subiri mkutane na watu wa kazi pale Kati Kovacic na Kante na kizuri zaidi James amerudi sipati hiyo picha hiyo game
Liverpool kwenye Uefa hua hatubahatishi tazama rekodi yetu ya kushinda makombe Uefa 6 sio kwa kubahatisha. Chelsea ndio kwanzaa mpo na Uefa 2.Mkikutana na Chelsea then chelsea tunachukua
Hahaha turudi enzi zileee za Mourinho miaka ya 2005+ tulipambana na Chelsea Uefa.Itapendeza sana tumfurushe bila kikombe
Hivi kwani TT hahusiki kuchukua kombe la EPL...Hanna ubavu wakuchukua mbele ya chelseafc ya TT