Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,458
- 32,893
Tukumbashane gemu ya mwisho matokeo ndio kama unavyosoma ubao.
Mambo ni mazuri sanaaa viunga vya Anfield.
Twenzetu sasa Wembley tuna jambo letu.
YNWA
Walete waleteJopo la waamuzi gemu ya Fainali Jumapili dhidi ya Chelsea ni kama ifuatavyo
Refa ni Stuart Attwell.
View attachment 2131252
YNWA
Kabisa Mzee baba hapa unaongea kama mtu unaejua mpiraKovacic na Kante mzee baba ni MF makini sanaaa. Naona majeruhi kwako ni Chilwell.
Itakua fainali powa sana.
Ni zawadi kwa mashabiki.
YNWA
Unaongea as if kama umelichukua Hilo kombe usipende kujitoa akili Chelsea sio kama leeds uliyoifunga hizo nafasi mlizozipata dhidi leeds usitegemee utazipata dhidi ya Chelsea mnakutana na midfielders hatari Sana wenye viwango vya dunia pale Kati Kovacic na Kante ndio mtapoanza kupotezwa nyuma kabisa unakutana na ukuta wa berlin wazee wakukichafua christensen Tiago Silva Rudiger mwisho mnakutana na kipa Bora na number 1 kwasasa E.MendyWalete walete
Hamna tatizo kukiwa na na Fabinho na Thiago pale kati hamna tatizo kabisa.
Ninachojua hiki kikombe kitasaidia kuwapa morali wachezaji wazidi kuwa Moto dhidi ya mancity na Pep(Upara), kingine morali ya kwenda kuchukua UEFA kule paris itaongezeka maradufu, yes it's coming home.
Come on you reds
Mtamdhibiti vipi ikiwa pia anacheza na midfield wa kiwango Cha dunia mwenye sifa ya kufanya dribbling,press resistance,Ana kasi,ana kaba pia ana control game si mwingine bali ni Kamanda Kovacickante huwa anatukamia sana, yani fomu yake inakuwa juu sana akikutana na sisi, naamini tutamdhibiti
Ni fainali powa sanaa hii.Kabisa Mzee baba hapa unaongea kama mtu unaejua mpira
Always Kombe hua linaongeza morali kwa wachezaji kupambana kujiamini na pia inakua kama vita baridi kwa tunaoshidana nao.Walete walete
Hamna tatizo kukiwa na na Fabinho na Thiago pale kati hamna tatizo kabisa.
Ninachojua hiki kikombe kitasaidia kuwapa morali wachezaji wazidi kuwa Moto dhidi ya mancity na Pep(Upara), kingine morali ya kwenda kuchukua UEFA kule paris itaongezeka maradufu, yes it's coming home.
Come on you reds
Mawazo yako pia mimi nimeizingumzia LFC yangu kama mshabiki, usinipangie cha kusema.Unaongea as if kama umelichukua Hilo kombe usipende kujitoa akili Chelsea sio kama leeds uliyoifunga hizo nafasi mlizozipata dhidi leeds usitegemee utazipata dhidi ya Chelsea mnakutana na midfielders hatari Sana wenye viwango vya dunia pale Kati Kovacic na Kante ndio mtapoanza kupotezwa nyuma kabisa unakutana na ukuta wa berlin wazee wakukichafua christensen Tiago Silva Rudiger mwisho mnakutana na kipa Bora na number 1 kwasasa E.Mendy
kwa uchezaji wa kovacic ataenda kupata tuu red cardMtamdhibiti vipi ikiwa pia anacheza na midfield wa kiwango Cha dunia mwenye sifa ya kufanya dribbling,press resistance,Ana kasi,ana kaba pia ana control game si mwingine bali ni Kamanda Kovacic
Hivi kwani TT hahusiki kuchukua kombe la EPL...
Uzuri Chelsea mnacheza powa sana vile vile Liverpool tupo moto balaa hivyo pale ni upangaji wa kikosi na utayari wa wachezaji siku husika.
View attachment 2131249
Head to head ndio hio hapo.
Thomas ameshinda makombe 10 almost nusu yake akishinda na PSG kule farmers league.
Klopp ameshinda makombe 9.
Itakua gemu ngumu sana upande wa tactics.
Uzuri hatuna visingizio mpaka sasa angalau timu zote zina majeruhi yanayovumilika.
YNWA
Walete walete
Hamna tatizo kukiwa na na Fabinho na Thiago pale kati hamna tatizo kabisa.
Ninachojua hiki kikombe kitasaidia kuwapa morali wachezaji wazidi kuwa Moto dhidi ya mancity na Pep(Upara), kingine morali ya kwenda kuchukua UEFA kule paris itaongezeka maradufu, yes it's coming home.
Come on you reds