Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi uliona Rodri alivyoishiwa pozi wakati VAR inatazama kama ni penati..

Yaani body language ya Rodri ilisema ni penati tu hakuna namna ila Chris Kavanagh 👇 VAR akashauri sio penati
Screenshot_20220227_105844.jpg

Chris hakuona haja ya kumshauri refa akatazame kwenye ki TV yaaani. Sasa unajiuliza kama sio penati basi na ile penati ya kwanza Leed vs Liverpool Jumatano basi sio penati.

YNWA
 
Hivi uliona Rodri alivyoishiwa pozi wakati VAR inatazama kama ni penati..

Yaani body language ya Rodri ilisema ni penati tu hakuna namna ila Chris Kavanagh VAR akashauri sio penati
View attachment 2132704
Chris hakuona haja ya kumshauri refa akatazame kwenye ki TV yaaani. Sasa unajiuliza kama sio penati basi na ile penati ya kwanza Leed vs Liverpool Jumatano basi sio penati.

YNWA
Marefa wa premier league hawana consistenc yani kosa hilo hilo refa mwingine anaweka pena au siku zingine unakuta yeye mwenyewe anaweka pena. cha ajabu hata akumshauri aende kwenye pitch side monitor kuangalia

Nataman marefa nao wawe wanahojiwa baada ya mechi
 
Hivi uliona Rodri alivyoishiwa pozi wakati VAR inatazama kama ni penati..

Yaani body language ya Rodri ilisema ni penati tu hakuna namna ila Chris Kavanagh VAR akashauri sio penati
View attachment 2132704
Chris hakuona haja ya kumshauri refa akatazame kwenye ki TV yaaani. Sasa unajiuliza kama sio penati basi na ile penati ya kwanza Leed vs Liverpool Jumatano basi sio penati.

YNWA
Mimi mwenyewe nilijua ni tuta ,lakini uchawi wa pep ukawapoteza wote ma referee ,kabumbu ikaendelea ....

Sasa tuna point 6 mbele kama mnaweza kuja huku kileleni njoon
 
Marefa wa premier league hawana consistenc yani kosa hilo hilo refa mwingine anaweka pena au siku zingine unakuta yeye mwenyewe anaweka pena. cha ajabu hata akumshauri aende kwenye pitch side monitor kuangalia

Nataman marefa nao wawe wanahojiwa baada ya mechi
Mtihani sana aisee hawa ma refa msimu huu nilitarajia wawe na double check baadhi ya maamuzi yenye utata kwenye ki Tv lakini wapi mambo ni yale yale.

Jana Everton sijaona wakicheza vile kwa muda mrefu sana.
Huyo Allan jana kaupiga mwingi sana akanikumbusha akiwa Napoli alikua mtu wa kazi sana. Lampard kazi imeeleweka japo wanapambana kutoshuka daraja ndio maana kwao kila pointi ni muhimu sana.

YNWA
 
Mimi mwenyewe nilijua ni tuta ,lakini uchawi wa pep ukawapoteza wote ma referee ,kabumbu ikaendelea ....

Sasa tuna point 6 mbele kama mnaweza kuja huku kileleni njoon
Aafu kiporo changu sasa ni Arsenal ugenini haha kazi sanaa.

Jana lile ni tuta hata Lampard kasema mwanae wa miaka mitatu atasema mkono umefuata mpira haha yaaaaani ma refa wakati mwingine wanakera kama nini.

YNWA
 
Tutapambana hadi mwisho ila ratiba + cinsistency vinambeba City

Mkuu achakukalili city hii ni ya kawaida mkuu,sio tichio. Ushindi wake unaona kabisa wanabebwa.

Ratiba ipi unazungumzia? Consistency mbona hana.


Mkuu Liverpool tuko imana sana na tumejifunza vingi tumebadilika.
 
Mkuu achakukalili city hii ni ya kawaida mkuu,sio tichio. Ushindi wake unaona kabisa wanabebwa.

Ratiba ipi unazungumzia? Consistency mbona hana.


Mkuu Liverpool tuko imana sana na tumejifunza vingi tumebadilika.

Simjui Bingwa ni nani ila Hata Liverpool hatoshinda michezo yote, hivyo Mancity na Liverpool wote wanaweza kudondosha points, hata hivyo Man City anaweza kushinda michezo 10 mfululizo kwa kikosi kile kile alichonacho.
Hivyo tusichukulie tu kuwa Man City anaweza kupotea kirahisi.
 
Man city najua tutapoteza game .....ila hata Liverpool atapoteza game ....!


Shida ni kwamba nani atapoteza game nyingi kuliko mwenzake??...

Liverpool katika game 14 anaweza asipoteze hata moja lakini akajikuta ana draw kama 4 nyingine akashinda ...lakini city katika game 14 anaweza poteza game 2 ila zilizobaki akashinda ......hii ni kwa experience nayoijua ....


Keep watching...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom