Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane, Salah, Diaz, Firmino, Jota hii ndiyo real Depth kwasababu akitumia yoyote mmoja kati ya hao hakuna anayelalamika tunatulia tu na tunajiamini kama hakuna kilichotokea.
Imagine hatuna Diogo Jota na tumetulia tu kama hatuna mchezaji anayeitwa Diogo Jota 😁😁😁
 
Yeye na Fabinho tunawahitaji kwa mechi zote zilizobakia kwenye Msimu huu.
Bwana wee kwa sasa tuwaombee dua wabaki wazima maana mechi ni nyingi sana na muda mchache sana uliobakia. Tupo Carabao, tupo FA, tupo Champions League, tupo EPL na sasa tumepata sababu zaidi kupambana mpaka kieleweke.

Allison, VVD, Fabinho, Thiago hawa kwangu ndio nguzo kuu kupata mafanikio msimu huu. Thiago ni key wa stabilise pale kati, VVD ni key wa ku stabilise pale nyuma.

YNWA
 
Bwana wee kwa sasa tuwaombee dua wabaki wazima maana mechi ni nyingi sana na muda mchache sana uliobakia. Tupo Carabao, tupo FA, tupo Champions League, tupo EPL na sasa tumepata sababu zaidi kupambana mpaka kieleweke.

Allison, VVD, Fabinho, Thiago hawa kwangu ndio nguzo kuu kupata mafanikio msimu huu. Thiago ni key wa stabilise pale kati, VVD ni key wa ku stabilise pale nyuma.

YNWA
VVD kuna mechi ya EPL hajacheza kweli?
 
Adui wa adui yako ni rafiki yako

[emoji16][emoji16]
Screenshot_20220220-084118.jpg
 
Wewe umeona goli la Mane but ile assist aliyopiga Alisson kwa Salah angepiga Mendy mashabiki wa Chelsea wangishinda hapa wiki Nzima kusema Mende wao kapiga assist ya sayari ya Mars.
Aisee ile assist ya Allison mpaka nilibaki nacheka mwenyewe maana sikuwa namsikiliza mtu akiniambia chochote.
 
Mane, Salah, Diaz, Firmino, Jota hii ndiyo real Depth kwasababu akitumia yoyote mmoja kati ya hao hakuna anayelalamika tunatulia tu na tunajiamini kama hakuna kilichotokea.
Imagine hatuna Diogo Jota na tumetulia tu kama hatuna mchezaji anayeitwa Diogo Jota [emoji16][emoji16][emoji16]
Elliot tumuweke kundi la akina Keita , Thiago, Fabinho , Ox , Jones na Le Captain sio?
 
Vvd Huyo anacheza mechi zote,na salah pia anacheza mechi zote, hawaumii hao.

Timu zingine wachezaji wakutegemewa hawawezi kucheza mechi zote wanaumia.ndio maana tunawaambiaga wapinzani hamna wachezaji wakuwapa ubingwa.
Kuna dogo yupo Spain pale Athletic Bilbao anaitwa INAKI WILLIAMS huyu dogo ni Mr Fit muda wote yaaani haumii kabisa tangu naanza kumfuatilia. Kuna kipindi Klopp alimtupia jicho ikawa jamaa wanataka bei ghali sana zaidi ya £70m Klopp hakumfuatilia tena.

Tazama rekodi yake ya appearance kwa misimu 8.
Screenshot_20220220_113834_com.android.chrome_edit_37116114100065.jpg


Kwa misumu 5 kuanzia msimu wa 2016 mpaka 2021 amecheza mechi zote ya La Liga 38 bila kukosa hata moja. Najiuliza huyu angetua hapa Liverpool tungekua na hali gani akiungana na Salah pale mbele wote kila mechi wamo yaaani.

YNWA
 
Crazy game
Manshit vs Spurs
2-3
FT
Kane anafunga goli dk ya 90+5

Hii ina maana gani kwenu

Mkila kiporo vizuri diference ya pts itakuwa 3
63 -60
April manacheza na Manshit
Hadi ifike april nadhani difference itakuwa 0
Na huo mchezo wa April 9 itakuwa fainali
HONGERENI SANA
Mkuu Lukaku niaje. Uzito wa jezi ama price tag imekua nzito kwake.

Jana stat zake zimekua chini mno.

Kuanzia mipira ya juu mpaka chini hakuonyesha alivyotegemewa
Screenshot_20220220_093330_com.android.chrome_edit_38083666151480.jpg



Anaweka rekodi zisizoedana na bei yake kabisa.

Hivi huyu Lukaku alimtaka Thomas ama wenye timu yao?

Kwa dirisha hizi kadhaa pale kati mmeshindwa kusajili ukali maana nikimtazama pia Werner hana tofauti na Romelu output yao ni almost identical tangu watue darajani.

YNWA
 
Elliot tumuweke kundi la akina Keita , Thiago, Fabinho , Ox , Jones na Le Captain sio?
Wewe jamani ebu mtoe Captain hapo kwamba hujaona ile assist kali ya Le Captain 😁😁😁😁🙈🙈🙈...

Aafu kama Captain akicheza kati kiasi fulani anakua na impact kuliko akicheza kulia na dogo Arnold..

Elliot kwanza safari yake ya mafanikio ndani ya Liverpool bado kabisa hapa anapewa kwanza foundation ndio maana uliona Klopp kumpanga kule San Siro. Unakumbuka Klopp alivyompanga TAA ugenini Trafford haha akimzima Rashford na baada ya hapo dogo hakuwai kurudi nyuma.

Mdogo mdogo Elliott atakua introduced kwenye set up upya baada ya ile jeraha kua amepona.

Hapa kwa TAA, Elliott, Jones, "Fabio" hawa FSG wameokoa mapesa mengi sana kuingia sokoni.

Fununu ni kwamba pia wapo Marcelo Pitaluga, Mateusz Musialowski, Billy Komuteo hawa soon watakuja kukiwasha hapa pengine 2023 tutapata tena introduction ya mmoja.

YNWA
 
Salute Le Captain..

Jana Le Captain alihusika na magoli mawili ndio alitoa pasi kwenda kwa Tsimikas na Tsimikas akatoa assist kwa Mane akafunga lile goli murwa sana. Na pia ndio alitoa assist kwenda kwa Diaz akafungua ukarasa wake wa magoli Anfied.

Jana Le Captain kaonyesha kwa vitendo maana halisi ya kua Captain wetu.

Asiachie pale azidishe bidii.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom