Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

High line defence ni kimeo ikiwa kama leo kwa Manchester City.

YNWA

HIghline Defence inahitaji Mabeki wasifanye kosa lolote yani wawe makini kwa asilimia 100%.

Hivyo inahitaji Mabeki wazuri na na DM mzuri.

Huwezi kucheza HIghline Defence halafu una DM kama Hendo ndiyo yatakukuta kama yaliyotukuta kwenye goli walilotufunga Norwich.
 
Mambo yamebadilika sasa tunahitaji uzoefu wa Klopp na jopo lake na senior players ili vijana endapo hii gepu tuipunguza wawe na utulivu.

We don't bottle this up...

Tukumbashane Kipara kapigwa Ethad nyumbani kwake yaaani bonge statement kutoka kwa Tottenham.

YNWA

Kabisa mkuu sasa upepo uko kwetu .pressure inakuwa kubwa kila mtu Liverpool bingwa,tujitaidi tucheze bila pressure yoyote.
 
HIghline Defence inahitaji Mabeki wasifanye kosa lolote tani wawe makini kwa asilimia 100%.

Hivyo inahitaji Mabeki wazuri na na DM mzuri.

Huwezi kucheza HIghline Defence halafu una DM kama Hendo ndiyo yatakukuta kama yaliyotukuta kwenye goli walilotufunga Norwich.
Hahaha leo Captain naona tu mazuri yake bhana umeona ile pasi matata sana goli la Diaz yaaani wembe balaa.

High line ya 4 3 3 ni ya Klopp bila wachezaji sahihi ni jipu ili kuwe na continuety ya mipango unahitaji wachezaji design kama Thiago leo.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Wana Liverpool tuzidi kuwa behind ya team,EPL is wide open yyt anaweza akawa bingwa
Tuzidi omba tusiwe na majeruhi makubwa pia
In Klopp,we believe
Jitu limekufa kwake Itihad
 
HIghline Defence inahitaji Mabeki wasifanye kosa lolote yani wawe makini kwa asilimia 100%.

Hivyo inahitaji Mabeki wazuri na na DM mzuri.

Huwezi kucheza HIghline Defence halafu una DM kama Hendo ndiyo yatakukuta kama yaliyotukuta kwenye goli walilotufunga Norwich.

Nakushauri tushangilie ushindi wetu bila kudharau our own players!
Kaka kocha calibre ya Klopp anampa namba Captain sisi ambao hatujui lolote kwenye soccer skill set why tunamdharau?
Pasi ya bao la Diaz angepiga KDB ingekuwa highlights ESPN lkn kapiga Hendo kama hawaoni!
In Hendo,we believe
 
Nakushauri tushangilie ushindi wetu bila kudharau our own players!
Kaka kocha calibre ya Klopp anampa namba Captain sisi ambao hatujui lolote kwenye soccer skill set why tunamdharau?
Pasi ya bao la Diaz angepiga KDB ingekuwa highlights ESPN lkn kapiga Hendo kama hawaoni!
In Hendo,we believe
Wewe unasema pass lile goal la Mane angefunga Messi au Mbabe au Ronaldo ungesikia they are back lakini Mane kama hawajaona...
 
We jamaa unaijua Liverpool kama kocha msaidizi vile
😂😂😂😂Pale kati jana paliloza sana na ikawa hatuwapi presha ya kutosha Norwich...

Klopp alisema baada ya gemu kuanza alistuka kuona Norwich wamekuja na mfumo mpya ambao yeye ja vijana hawakua wameufanyia mazoezi na hii ndio anasema iliua tempo tukawa hatuna hatutishi tena...

Kipindi cha pili baada ya wao kupata goli hakusubiri tena akafanya sub na kubadili mfumo ukawa 4 4 2 na kuanzia hapo wakawa neutralised especially pale kati.

Jana safi tumeshinda mechi bila TAA, Robertson, Jota, Firmino na Fabinho, tukumbushane tulikua tunashinda mechi hapo kati bila Mane, Salah, Keita. Sasa ni dhahiri kabisa kikosi kimeiva hakuna tena yale maneno ya one man team ooh asipofunga Salah hamshindi.

Msimamo ni ule ule kila mmoja ashinde mechi zake.

Kuanzia sasa kila mechi ni fainali.

YNWA
 
Wewe unasema pass lile goal la Mane angefunga Messi au Mbabe au Ronaldo ungesikia they are back lakini Mane kama hawajaona...

Wewe umeona goli la Mane but ile assist aliyopiga Alisson kwa Salah angepiga Mendy mashabiki wa Chelsea wangishinda hapa wiki Nzima kusema Mende wao kapiga assist ya sayari ya Mars.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom