King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,461
- 7,456
Yah, timu yako ikiwa inafanya vizuri mnakuwa na jeuri. Zamu yenu sasa ila muda upo na uko karibu mtayafunga hayo mabakuli yenu kabisa
Since 2017 mbona haya ya kuwa tutapotea/tutaanguka tuliyasikia na bado tunaendelea kuyasikia ilicha ya kuwa tunapitia Ups and Downs lakini bado tupo Imara.
Na ukweli ni kwamba Liverpool ndani ya hii miaka 5 tupo imara sana lakini sema tu Man City ni Imara zaidi extraordinary Ndiyomana hatubebi Makombe Mfululizo, Imagine tunamalizia ligi na points 95 lakini sio mabingwa jambo ambalo halikuwahi kutokezea kabla.
Under Klopp Liverpool haitoanguka ingawa kuna muda anakosa Financial support mpaka anatia huruma.